So tutakaa kutafuta maendeleo kwa ajili ya mwanamke tu?? yani nimeoa feminist tumeachana, mali zangu zimepigwa pasu, nimeoa tena imetokea the same mali zimepigwa pasu, aiseee....!!! Mtoa mada umepuyanga vibaya sana...bila sheria ya ndoa kubadilishwa hatuoi,, KATAA NDOA, NDOA NI UJAMBAZI, NDOA NI UHAINI.