Ndoa ni nusu ya dini

Wanaoongoza humu ndani kuongea hivyo kataa ndoa ni wakristo,kweli uislamu ni dini ya haki na kweli
 

Hivi mali inayopigwa pasu sio ile mliyochuma kipindi upo naye au hata ile aliyokukuta nayo?
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…