Ndoa inavunjika kimzaa mzaa hivi karibuni

Ndoa inavunjika kimzaa mzaa hivi karibuni

Hiyo KT ndio mini, katerero au? Huyo mama limbukeni tena limbukeni wa mapenz na pombe wa karne
 
Hilo ni kweli, wake za watu wanajirahisi muno eti kisa, kila siku wanakula maharage sasa nao wanataka kubadili mboga , mboga hiyo wakila tu wanajisahau wanakula mzima mzima mpaka wanakamatwa. Jamani KT msijaribishe mke wamtu mtaaribu ndoa.

Huyu mwl namfahamu vizuri sana!
 
miss chagga hii KT inapigwa vipi? naomba unipe uzoefu wako, nshaona hawa walegeza suruali watatuharibia wake zetu, nijuze nami niipeleke home kwa mama nanii!

unaingiza na kutoa alafu unasugua na dushe lako kwa juu huku maji yakiendelea kutoka mengi mpaka anacome :A S wink::A S wink::A S wink::A S wink:
 
Wana JF,

Katika mambo ambayo unaweza kusema ni ya kishetani au ni kwa tamaa za ngono ambazo mtu ameshindwa kuzidhibiti, wiki iliyopita niliwaletea story ya kweli ya shekuwavi ambaye aliruka ruka sana na mke wa mtu kwa masaa matano yakatosha kuchanganikiwa na raha akasahau kurudi kwao mapema, baada ya kurudi kwao kikanuka kwani alichoka sana hata mume akajua kuwa nyuki zilishakunywa asali yote, usiku ni kulamba makombo.

Tulejee kwenye kisa, mke alipigwa sana, keshoyake mme kavamia kazini kwake akiisi labda boss ndiye aliyemtenda kumbe haikuwa hivyo, mwanamke kafukuzwa kazi, baadaye naye kaamua kurudi nyumbani kushtaki kuwa amepewa kibano, hata kafukuzishwa kazi kisa wivu, huyu mama nilikuwa sijawahi kumuona kwa macho yangu, juzi nikamshuhudia maana walijisahau wakaitana sehemu ambayo nami nilikuwepo.

Mwanamke bila aibu akaanza ulabu then maravidava yakaanza, mke wa mtu ana maromanzi utafikiri katumwa, mara alembue rembue hovyo, nikafikia hatua namtania kuwa karibu shemeji yetu, safari hii ndoa ni lazima, kama vile sijui kisa, demu kajishebedua sana, baadaya ya kunywa reds mbili, nikamwambia hatachangamka kama hatakunywa Savanah, jamani mambo ya savannah hatari, sijui ni ulimbukeni wa kupenda akawa anamwambia shekuwavi , tuondoke bwana mshahama akili leo ni lazima tudozi wote, shekuwavi bila agizi kawasha gari na kutokomea naye, kesho yake shekuwavi anarejesha majibu, ananiambia sijui nifanyeje, mke wa mtu anadai talaka hataki tena kurudi nyumbani, anataka kama sitamwoa bora nimtafutie chumba niwe kama mme wake.

Huyu jamaa anataka kuoa hivi karibuni, nilimuuliza mke wa mtu umemfanya nini mpaka anapagawa hivi, kama ulimpiga KT hatamrudia mume kamwe, akaniambia amemfanyia hivyo ndio maana kagandwa. Kwa ufupi mama anadai talaka kwa kusingizio cha kutorejeshwa kazini kwake kwani mume aliharibu, anasema kama kitoto kimoja cha kike akinishinda mama atalea tu.

My take,
wanawake wahuni kama hawa wanawaletea mizigo wazazi kwa kuendekeza ngono, kumbe wakati mwingine wanawake ndio wanaosababisha watoto wa mitaani. Wanawake wengi walioolewa na wazazi wao wanaishi Dar ni shida sana ukimgusa tu , anakimbilia kwao, huko anaendelea kusaply uroda.

sijaelewa apo kwenye red tafadhari!
 
Na bado zitavunjika sn tu...kwasbb ni mikataba tu huo sio maagano
 
Mlete kwa gwajima
Njoopandabasi
Ikizidi alfutano nipm
 
yaani siku hiyo ya raha kamili ndiyo watu wanagawa mashamba, nyumba gari wakiulizwa baada ya gemu , utasikia yaani unilize mie bila kufiwa nitoe mali wakati raha tumepata wote!

Ha.ha ha ha ufisadi.huu sasa
 
Back
Top Bottom