Ndoa huongeza muda wa kuishi

Ndoa huongeza muda wa kuishi

Mimi nakubali ingawa ningetegemea huo utafiti uende more deep kuelezea sababu...

Unajua wasela wengi wanakula junk foods an ku party kama wasanii

Unajua kwa nini wasanii wanakufa upesi (hiyo ni world wide)? Life style...kuponda maisha...kunywa kupita kiasi...nyama choma...kubadili wapenzi...kukosa wa kum confide ukiwa na tatizo etc, etc, etc
 
Kuna wengine wanasema nitazaa mwanangu ndio atakuwa rafiki yangu....wapiiii

Mimi nimeshaona dalili ya kijana wangu kutaka space...hakuna mtoto anataka mama au baba yake awe rafiki...anataka awe ana hang na age mates.

Mtoto mnakuwa closer akiwa mdogo...akikua hataki kiwingu.

Hakuna rafiki wa uhakika na wa kudumu kama mwenza katika ndoa
 
mmmh

nafikiri muda wa mwanadamu kuishi umepangwa na anaujua Mungu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom