chambimagaka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 288
- 338
Mwanaume Mmojaa alikuwa anamlazimisha mkewe kufanya mapenzi gizani kwa muda wa miaka kumi,ndipo siku moja mwanamke uzalendo ukamshinda na kuamua kuwasha taa ila ghafla alipigwa na bumbuwazi baada ya kuona kuwa kumbe mumewe ana uume wa bandia!
Mwanamke alihamaki na kumwambia mume wake haya naomba maelezo haraka kabla sijakinukisha kwa majirani na marafiki zako?
Mwanaume akajibu Mimi ndio naomba maelezo makubwa mno,nataka uniambie hawa watoto wetu watatu wamepatikana vipi?
USICHEKE INATAKIWA TUJIFUNZE KITU HAPO KUPITIA SIMULIZI HIYO
Mwanamke alihamaki na kumwambia mume wake haya naomba maelezo haraka kabla sijakinukisha kwa majirani na marafiki zako?
Mwanaume akajibu Mimi ndio naomba maelezo makubwa mno,nataka uniambie hawa watoto wetu watatu wamepatikana vipi?
USICHEKE INATAKIWA TUJIFUNZE KITU HAPO KUPITIA SIMULIZI HIYO
