NDOA HIZI, WE ACHA TU

NDOA HIZI, WE ACHA TU

chambimagaka

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2017
Posts
288
Reaction score
338
Mwanaume Mmojaa alikuwa anamlazimisha mkewe kufanya mapenzi gizani kwa muda wa miaka kumi,ndipo siku moja mwanamke uzalendo ukamshinda na kuamua kuwasha taa ila ghafla alipigwa na bumbuwazi baada ya kuona kuwa kumbe mumewe ana uume wa bandia!


Mwanamke alihamaki na kumwambia mume wake haya naomba maelezo haraka kabla sijakinukisha kwa majirani na marafiki zako?

Mwanaume akajibu Mimi ndio naomba maelezo makubwa mno,nataka uniambie hawa watoto wetu watatu wamepatikana vipi?



USICHEKE INATAKIWA TUJIFUNZE KITU HAPO KUPITIA SIMULIZI HIYO
 
Jiulze kwanza

( vp huo uume ulikuwa unatoa manii ama laah) ukipata jibu ndipo utajua nn nlimaanisha
Boy mzuri kaa ukijua kuwa mshikaji alikuwa anamgegeda manzi wake kwa kutumia mashine ya bandia, hivyo hata alipomwona wife wake akibeba (conceived) ilibidi ashangae, ila kwa kuwa hakutaka makuu, ilibidi auchune tu huku ukweli anaujua mwenyewe!

Hivyo shida imeanzia pale mwanamke alipoanza kuhoji kuhusu maumbile ya mmewe! Copy it
 
Boy mzuri kaa ukijua kuwa mshikaji alikuwa anamgegeda manzi wake kwa kutumia mashine ya bandia, hivyo hata alipomwona wife wake akibeba (conceived) ilibidi ashangae, ila kwa kuwa hakutaka makuu, ilibidi auchune tu huku ukweli anaujua mwenyewe!

Hivyo shida imeanzia pale mwanamke alipoanza kuhoji kuhusu maumbile ya mmewe! Copy it



Mwanzo hayo maneno hayakuepo , kama yangekuepo toka mwanzo reply yang ingekuwa tofauti pia
 
"ukioa mwanamke aliyeacha shule nawe utaachwa kwa njia ile aliyotumia kiacha shule"
 
Huenda ndoa ni mzigo mzito tena unao bebwa kwa hiyari!
Waliokuwepo kwenye ndoa wanatamani watoke na wasio kuwepo wanatamani waingie humo humo

Mi nafikiri huwa hivi vistori hawa wasiooa wangekuwa wanavipitia kuvisoma kujua yaliyomo asee
 
Duh!!na yeye mwanaume aliwezaje kuvumilia kuishi na watoto akijua sio wa kwake?
Kwa sababu naye pia alikuwa anajua naye lake likijulikana inakuwa balaa, usikute kila siku alikuwa anatafuta mwanamke aliye tiale na watoto ili iwe rahisi kwake

" halafu tusiingilie ndoa za watu hayo ni makubaliano yao wenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom