figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #41
kwa hiyo hata kama huna hela nikukumbushe ahadi zako? kama hutaki kutoa hela usiahidi basi. na huyo dada anae kwambia usipo mpa hela maana yake humpendi achana nae, ni malaya tu ila anakupa deni kimpango na wakati unazo anataka umlipe. she puts a price to her feelings, she is a bitch!
siyo hivyo mkuu.mtu amekuahidi kitu tarehe10,ukimuona na hela tarehe saba unaanza kuchonga.inakua siyo mpango.mia