Hamjambo?
Hivi kama mwanao ana ndiyo ya kuwa mchezaji mpira wa miguu na ukimwona ni kweli ndiyo mchezo anaupenda sana.Unafanyaje, maana ndiyo kwanza ni std 5.
Mi binafsi Kila anaponidokezea suala la yeye kuwa footballer ukubwani huwa namwambia "we soma sana mwanangu,mpira utaukuta tu".
Hivi kama mwanao ana ndiyo ya kuwa mchezaji mpira wa miguu na ukimwona ni kweli ndiyo mchezo anaupenda sana.Unafanyaje, maana ndiyo kwanza ni std 5.
Mi binafsi Kila anaponidokezea suala la yeye kuwa footballer ukubwani huwa namwambia "we soma sana mwanangu,mpira utaukuta tu".