Ndio maana CCM huwa wanavuruga mikutano ya CDM

Ndio maana CCM huwa wanavuruga mikutano ya CDM

Joined
Dec 11, 2010
Posts
3,321
Reaction score
6,331
Picha zinaongea mameno milioni moja, hao watu wote hapo Hawawezi kuhudhuria mkutano nakusikiliza kisha wakabaki walewale. CCM huwa hawapendi watu waelimishwe! Wako radhi hata kutumia Polisi.
 

Attachments

  • 1416519966237.jpg
    1416519966237.jpg
    104.6 KB · Views: 641
  • 1416519993733.jpg
    1416519993733.jpg
    95.6 KB · Views: 544
  • 1416520007628.jpg
    1416520007628.jpg
    100.1 KB · Views: 506
  • 1416520083669.jpg
    1416520083669.jpg
    92.4 KB · Views: 532
polisi wa Tanzania hawana uwezo wa kupambana na watanzania endapo wataamua kumbuka polisi laki nne wa jiji la Cairo wenye vifaa na uwezo mkubwa kuliko hawa wa kwetu na hawakuweza kuzuia watu. wakubwa muda si mrefu wataujua ukweli huu kwa maana wameshindwa kujifunza kutoka kwa wenzao wa nchi zingine za africa ikiwemo Burkina faso hivi karibuni wanafikiri wao ni special hawawezi kufikiwa na hali hiyo. tunasubiria suala la escrow halafu waone kitachofuata
 
polisi wa Tanzania hawana uwezo wa kupambana na watanzania endapo wataamua kumbuka polisi laki nne wa jiji la Cairo wenye vifaa na uwezo mkubwa kuliko hawa wa kwetu na hawakuweza kuzuia watu. wakubwa muda si mrefu wataujua ukweli huu kwa maana wameshindwa kujifunza kutoka kwa wenzao wa nchi zingine za africa ikiwemo Burkina faso hivi karibuni wanafikiri wao ni special hawawezi kufikiwa na hali hiyo. tunasubiria suala la escrow halafu waone kitachofuata
Tz ina polisi 55,000
 
Hivi usalama wa taifa walifanya "impact assessment" kabla ya kuruhusu kujengwa chuo kikuu kikubwa Dodoma?
 
Hapa adanganyi mtu Tanzania hakuna kuandamana. Na ukweli upo wazi kwenye chaguzi zote CCM wanashinda sasa hili la amani kupotea litatoka wapi? Mimi nasema mkiandamana mtapigwa tu
 
Mkuu Mohamed mtoi naona una mpango wa kusababisha mauwaji kwa CCM . watakapoona picha hizi presha na kisukari & ESCROW akaunti lazima vipande, na hali itakuwa tete. polepole mkuu utauwaaa.....!
 
Hapa adanganyi mtu Tanzania hakuna kuandamana. Na ukweli upo wazi kwenye chaguzi zote CCM wanashinda sasa hili la amani kupotea litatoka wapi? Mimi nasema mkiandamana mtapigwa tu

Kuu.

Mbona umekimbilia kutaja maandamano ambayo wala sio kiini cha huu mnakasha?! Yaani hapa ume justify kuwa ccm wana ogopa maandamano ya chadema kuliko inavyo ogopa wezi wa escrow akaunti, kagoda,Epa, na wizi mainline?!

Ila kwa taarifa tu ni kwamba, Ccm maeneo mengi hushinda kwa kutegemea nguvu ya dola na ghiriba za uchaguzi ikiwemo wizi wa kura na vitisho, kwenye level playing ground, Ccm niwa laini kama maini.
 
Back
Top Bottom