wewe umejifunza nini mkuu?Hadithi yako inatufundisha nini? tuma salamu kwa watu watatu
amerudi chuoni kuendelea na masomo...msaidiieni jamani....hata kwa mawazo tuuuYuko wapi tumsaidie?
Mwambie huyo hakuwa wake kutoka kwa Mungu, awe na matumaini atampata wake aliyepangiwa na Mungu asikate tamaaamerudi chuoni kuendelea na masomo...msaidiieni jamani....hata kwa mawazo tuuu
Hapa leo ndio nimekujua vinzuri mkuu Mentor..Frankness,
Unamkumbuka Yakobo wa kwenye Biblia? Alifanya kazi miaka SABA..seven damn years...ili aweze kumuoa kipenzi cha moyo wake binti Raheli. Matokeo yake akaozwa Leah.
Akaambiwa ukimtaka Raheli, shurti ufanye tena kazi miaka saba.
Mungu ana mpango mwema sana na wewe...anasema hawezi kukupa jaribu lililozidi imani yako. Ulimpenda, ukamsomesha, akaamua kuolewa na mtu mwingine.
Mungu anakuambia, upo tayari kuwa mvumilivu tena kwa miaka mingine saba ili nikupe Raheli wako uliyempenda? Yule alikuwa Leah ndugu yangu.
Au niilete karibu zaidi, Samsoni..alimpenda binti mfilisti Delilah...alimpenda sana na aliamini huyo ndiye Mungu aliyemchagulia. Wafilisti walimpa mtihani mgumu wa mahari ya binti huyo ila Samsoni alifanikiwa kuileta. Asali ya mzogani mwa simba.
Yaliyomtokea nadhani unayafahamu..
Inawezekana kabisa Mungu alikuepushia hadithi ya Samsoni katika maisha yako (Ingawa najua hata sasa bado unaamini sivyo). Ila anasema, "I know the plans I have for you" anasema pia, "kila jambo limtokealo mwanadamu worketh for good to all those who believe in Him"
Je, unaamini?
Wengi wamevunjwa mioyo...wengi wamesubiri miaka mingi, wamegharamia, wamechunga mbuzi na kondo wa wajomba zao..lakini matokeo yake ni yale ya Samsoni.
U r not 50 yrs useme umri umekutupa. Naamini bado u kijana mdogo...mtu mmoja asikufanye uichukie dunia nzima...wait upon God's timing, it's always the best n perfect one!
All the best brother...
Frankness,
Unamkumbuka Yakobo wa kwenye Biblia? Alifanya kazi miaka SABA..seven damn years...ili aweze kumuoa kipenzi cha moyo wake binti Raheli. Matokeo yake akaozwa Leah.
Akaambiwa ukimtaka Raheli, shurti ufanye tena kazi miaka saba.
Mungu ana mpango mwema sana na wewe...anasema hawezi kukupa jaribu lililozidi imani yako. Ulimpenda, ukamsomesha, akaamua kuolewa na mtu mwingine.
Mungu anakuambia, upo tayari kuwa mvumilivu tena kwa miaka mingine saba ili nikupe Raheli wako uliyempenda? Yule alikuwa Leah ndugu yangu.
Au niilete karibu zaidi, Samsoni..alimpenda binti mfilisti Delilah...alimpenda sana na aliamini huyo ndiye Mungu aliyemchagulia. Wafilisti walimpa mtihani mgumu wa mahari ya binti huyo ila Samsoni alifanikiwa kuileta. Asali ya mzogani mwa simba.
Yaliyomtokea nadhani unayafahamu..
Inawezekana kabisa Mungu alikuepushia hadithi ya Samsoni katika maisha yako (Ingawa najua hata sasa bado unaamini sivyo). Ila anasema, "I know the plans I have for you" anasema pia, "kila jambo limtokealo mwanadamu worketh for good to all those who believe in Him"
Je, unaamini?
Wengi wamevunjwa mioyo...wengi wamesubiri miaka mingi, wamegharamia, wamechunga mbuzi na kondo wa wajomba zao..lakini matokeo yake ni yale ya Samsoni.
U r not 50 yrs useme umri umekutupa. Naamini bado u kijana mdogo...mtu mmoja asikufanye uichukie dunia nzima...wait upon God's timing, it's always the best n perfect one!
All the best brother...
Frankness,
Unamkumbuka
Yakobo wa kwenye Biblia? Alifanya kazi miaka SABA..seven damn
years...ili aweze kumuoa kipenzi cha moyo wake binti Raheli. Matokeo
yake akaozwa Leah.
Akaambiwa ukimtaka Raheli, shurti ufanye tena kazi miaka saba.
Mungu ana mpango mwema sana na wewe...anasema hawezi kukupa jaribu
lililozidi imani yako. Ulimpenda, ukamsomesha, akaamua kuolewa na mtu
mwingine.
Mungu anakuambia, upo tayari kuwa mvumilivu tena kwa miaka mingine saba
ili nikupe Raheli wako uliyempenda? Yule alikuwa Leah ndugu yangu.
Au niilete karibu zaidi, Samsoni..alimpenda binti mfilisti
Delilah...alimpenda sana na aliamini huyo ndiye Mungu aliyemchagulia.
Wafilisti walimpa mtihani mgumu wa mahari ya binti huyo ila Samsoni
alifanikiwa kuileta. Asali ya mzogani mwa simba.
Yaliyomtokea nadhani unayafahamu..
Inawezekana kabisa Mungu alikuepushia hadithi ya Samsoni katika maisha
yako (Ingawa najua hata sasa bado unaamini sivyo). Ila anasema, "I know
the plans I have for you" anasema pia, "kila jambo limtokealo mwanadamu
worketh for good to all those who believe in Him"
Je, unaamini?
Wengi wamevunjwa mioyo...wengi wamesubiri miaka mingi, wamegharamia,
wamechunga mbuzi na kondo wa wajomba zao..lakini matokeo yake ni yale ya
Samsoni.
U r not 50 yrs useme umri umekutupa. Naamini bado u kijana mdogo...mtu
mmoja asikufanye uichukie dunia nzima...wait upon God's timing, it's
always the best n perfect one!
All the best brother...
well that is itFrankness,
Unamkumbuka Yakobo wa kwenye Biblia? Alifanya kazi miaka SABA..seven damn years...ili aweze kumuoa kipenzi cha moyo wake binti Raheli. Matokeo yake akaozwa Leah.
Akaambiwa ukimtaka Raheli, shurti ufanye tena kazi miaka saba.
Mungu ana mpango mwema sana na wewe...anasema hawezi kukupa jaribu lililozidi imani yako. Ulimpenda, ukamsomesha, akaamua kuolewa na mtu mwingine.
Mungu anakuambia, upo tayari kuwa mvumilivu tena kwa miaka mingine saba ili nikupe Raheli wako uliyempenda? Yule alikuwa Leah ndugu yangu.
Au niilete karibu zaidi, Samsoni..alimpenda binti mfilisti Delilah...alimpenda sana na aliamini huyo ndiye Mungu aliyemchagulia. Wafilisti walimpa mtihani mgumu wa mahari ya binti huyo ila Samsoni alifanikiwa kuileta. Asali ya mzogani mwa simba.
Yaliyomtokea nadhani unayafahamu..
Inawezekana kabisa Mungu alikuepushia hadithi ya Samsoni katika maisha yako (Ingawa najua hata sasa bado unaamini sivyo). Ila anasema, "I know the plans I have for you" anasema pia, "kila jambo limtokealo mwanadamu worketh for good to all those who believe in Him"
Je, unaamini?
Wengi wamevunjwa mioyo...wengi wamesubiri miaka mingi, wamegharamia, wamechunga mbuzi na kondo wa wajomba zao..lakini matokeo yake ni yale ya Samsoni.
U r not 50 yrs useme umri umekutupa. Naamini bado u kijana mdogo...mtu mmoja asikufanye uichukie dunia nzima...wait upon God's timing, it's always the best n perfect one!
All the best brother...
"kumsomesha mtoto wa kike ni sawa na kumwagilia bustani ya jirani"
-kweli Mwl Mlayi alikua sahihi(huyu alikua mwalimu wangu wa civics,)aliyatamka maneno haya nikiwa form4 mpaka kesho nayakumbuka vizuri tu.