Pole sana mkuu,hizi relation zina matatizo sana ila kwa vile huna uhakika na hisia zako jitahidi kuwa positive zaidi kuhusu yeye na wewe pia,jipe mda wa kujua ukweli kuhusu yeye na msimamo wake ili usiishi kwa hisia na kuutesa moyo wako, hapo ndio utaweza kujua uchukue uamuzi gani,all in all tunatakiwa tujifunze kupokea matukio kwani sio kila tukio ni baya, coz huwezi jua japo unahis utaumia sana au utaathirika sana akikuacha kumbe inaweza kuwa faida kubwa kwako na kwa maisha yako pia,amini kama sio yeye basi atakuja mwingine kama alivyokuja yeye na siku moja utakutana na aliyeumbwa kwa ajili yako!