MwanaCBE JF-Expert Member Sep 23, 2009 1,771 804 Nov 1, 2010 #1 Mpaka sasa Moshi mjini Ndesambulo kata 18 kati ya 21. Sourse Star TV.
firstcollina JF-Expert Member Aug 8, 2009 349 21 Nov 1, 2010 #4 Kulikuwa na habari za kuchakachuliwa hapa kwamba mzee Ndesa mambo haykuwa mazuri but for this post it seems they have proved them selves wrong
Kulikuwa na habari za kuchakachuliwa hapa kwamba mzee Ndesa mambo haykuwa mazuri but for this post it seems they have proved them selves wrong
Gwamahala JF-Expert Member Jul 29, 2009 3,925 2,321 Nov 1, 2010 #5 Ndesamburo labda afe au aamue kuacha mwenyewe!
N Nationalist Member Dec 3, 2008 30 8 Nov 1, 2010 #7 Hayo ndio mambo ya mzee wa 'kula kwa mama (CCM), kulala kwa baba (CHADEMA)..Sipati picha 2015, God help us live to see that day!
Hayo ndio mambo ya mzee wa 'kula kwa mama (CCM), kulala kwa baba (CHADEMA)..Sipati picha 2015, God help us live to see that day!