Ndere na ngekewa

Ndere na ngekewa

nico winto

Member
Joined
Jul 2, 2017
Posts
34
Reaction score
27
Waliotumia ndere NI kweli hii dawa inamvuto mkali au stori za vijiweni, Kuna wadau wameniambia ukitumia hi unapata dem yeyote hata awe mwarabu je NI kweli?
 
Tafuta hela utapata kila demu umtakae. Halaf kingine, hivi karne hii tunayokwenda nayo ni ya kutumia dawa za mvuto wa mapenzi??. Tena mtoto wa kiume!!!. Mambo hayo waachie kina dada.
 
Tafuta hela utapata kila demu umtakae. Halaf kingine, hivi karne hii tunayokwenda nayo ni ya kutumia dawa za mvuto wa mapenzi??. Tena mtoto wa kiume!!!. Mambo hayo waachie kina dada.
Kwa style hiyo utachunwa paka ukome
 
Iyo ndere ndio ikoje maana naisikia tu huku mtaani
 
Naitafuta sana hiyo ndere, hivi nstagram wanauza hiyo ndere na mkoani wanaweza kuwa wanatuma?
 
Naitafuta sana hiyo ndere, hivi nstagram wanauza hiyo ndere na mkoani wanaweza kuwa wanatuma?
Ndugu nikwambie kweli hii ndere nina ushahidi nazo zipo za utajiri za mvuto na za vyeo na za biashara na makazin kuna babu yupo tanga hapa ni jirani yetu watu wanakuja na magari yao hapa kufuata iyo kitu kama vipi nitafute nikuunge nae uyo babu 0744903557
 
Tafuta pesa kijana! Watoto wa kike watakufuata mpaka utawakimbia
 
Ndugu nikwambie kweli hii ndere nina ushahidi nazo zipo za utajiri za mvuto na za vyeo na za biashara na makazin kuna babu yupo tanga hapa ni jirani yetu watu wanakuja na magari yao hapa kufuata iyo kitu kama vipi nitafute nikuunge nae uyo babu 0744903557
Wewe huo utajiri huutaki mpaka ubaki kuwa jirani wa huyo babu?.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
unapata dem yeyote hata awe mwarabu je NI kweli?


Kweli jf imekusanya hata malimbukeni,!!!

Eti, Wewe unaona waarabu ndio wazuri na warembo sana??.

Waswahili taabu sana.
 
Fanya kazi kwa bidii...

Penzi kitovu cha uzembe...
 
""if hard work pay show me rich donkey ""

infanya kazi ila ikiisha nguvu yake au ukaamua uache kutumia hata kuku atakuchukia hamna mwanamke uta date nae labda mbuzi ni gundu balaa
 
iv iyo ndere ikiisha unakuwa kama ulivyokuwa awali au inakuwa ni balaa zaid na mikosi kwako??

ipi tofauti kati ya ndere na ngekewa??
 
""if hard work pay show me rich donkey ""

infanya kazi ila ikiisha nguvu yake au ukaamua uache kutumia hata kuku atakuchukia hamna mwanamke uta date nae labda mbuzi ni gundu balaa
Mkuu una experience nazo?
 
Mkuu una experience nazo?
nimeishi na wadau wangu wamezitumia nilikuwa nawaona jinsi wanavyolalamika plus baada ya kubadilisha mademu kwa sana kitu ambacho nlkuwa nawaona waliishia kubadilisha ni nguo zao walijuta kuzitafuta
 
nimeishi na wadau wangu wamezitumia nilikuwa nawaona jinsi wanavyolalamika plus baada ya kubadilisha mademu kwa sana kitu ambacho nlkuwa nawaona waliishia kubadilisha ni nguo zao walijuta kuzitafuta
Kwa hiyo baada ya kuisha nguvu madem wakawa wanawagomea au Niwao tu waliamua kutulia zao baada ya kuchoka. Na zinakuwa active kwa muda gani?
 
Ndugu nikwambie kweli hii ndere nina ushahidi nazo zipo za utajiri za mvuto na za vyeo na za biashara na makazin kuna babu yupo tanga hapa ni jirani yetu watu wanakuja na magari yao hapa kufuata iyo kitu kama vipi nitafute nikuunge nae uyo babu 0744903557
Wewe hutaki kuwa tajiri hadi ubaki kuwa mpenzi mtazamaji wa magari ya matajiri?
 
Back
Top Bottom