Ni ndege za jeshi jeshi letu za zamani sana! Zinafanya mazoezi kwa ajili ya sherehe za kitafa zinazokuja. Ndege kama hizo wenzetu walitumia miaka ileee ya hamsini kweusii...ni moja ya silaha chache tulizonazo na ambazo tunadanganywa kuwa jeshi letu ni la kisasa...