Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
Tukio hilo la aina yake limejiri hivi karibuni wakati chombo hicho maarufu kwa jina la ‘ungo’ kilipodondoka wakati kikikatiza angani
Hahahahhahahhah uwiiiiii mbavu zangu jamaniDrone ya CCM hiyo inafanya tafiti
Habari wanazozipenda watz ndo kama hizo.Hazina maendeleo yoyote zaidi ya ujinga tu.
Au wewe unanitaka??Mmmmh hujitaki wewe......hahahaha
he he heheDrone ya CCM hiyo inafanya tafiti
aje atupe ufafanuzi