wakuu nimesoma habari hii kwenye tv ya citizen ya kenya kuwa ndege aliyopanda rais wa zamani wa marekani na binti yake chelsea imetua kwa dharula ikitokea iringa kwenda manyara mwenye taarifa zaidi atujuze
wakuu nimesoma habari hii kwenye tv ya citizen ya kenya kuwa ndege aliyopanda rais wa zamani wa marekani na binti yake chelsea imetua kwa dharula ikitokea iringa kwenda manyara mwenye taarifa zaidi atujuze
Híi habari ya crash landing nimeiona jana hapa jf. Maybe that robotoid is in trouble? Halafu all night long huku tulikuwa na news blackout. Internet ilikuwa haipatikani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.