loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 769
- 1,729
Mawasiliano yamepotea na ndege binafsi iliyowabeba mkuu wa majeshi ya Libya Jenerali Muhammad Ali Ahmad Al-Haddad na watu wengine wanne waliokuwa wanaelekea Tripoli kutoka mji mkuu wa Uturuki Ankara. Na kuwepo na shughuli za dharura na ndege zingine kuelekezwa maeneo mengine. Waziri wa Mambo ya ndani Uturuki kathibitisha.
Update:
Mabaki ya ndege yamepatikana na vikosi vya usalama vya uturuki na mkuu huyo wa Majeshi amefariki dunia.
Update:
Mabaki ya ndege yamepatikana na vikosi vya usalama vya uturuki na mkuu huyo wa Majeshi amefariki dunia.