Ndege iliyoangusha jengo la TB.Joshua.yapotea.

Ndege iliyoangusha jengo la TB.Joshua.yapotea.

Status
Not open for further replies.
Joined
Aug 16, 2014
Posts
59
Reaction score
48
Yameanza mapema sana, ndege ya jeshi la Nigeria imepoteza mawasiliano hehehehe tangu ijumaa siku kama ile ilifanya unyama hahaha na bado.

sosi: bbcweb
 
Hawa watu akili zao zimeharibika.
sasa issue ya kupotea ndege ya jeshi inahusika vipi hapa?.
na taarifa ndo umeipata leo kwamba kuna ndege ilipotea.
 
wahi hospitali iliyoko karibu hali yako ni mbaya sana mkuu ukapimwe ukiendelea na hiyo akili baada ya muda mfupi tutakupoteza. ni ushauri tu
 

Samahani kwani wewe ndio mzee wa upako manake una taarabu hatare watumishi huwa hawapo hivyo wana maneno ya hekma, ukarimu, faraja, na matumaini labda mtumishi wa shetani ndio ana mineno ya kuzimu.
 
Kumbe hadi watumishi wa Mungu nao hufurahia majanga?

Si mafundisho yanawataka mgezeuze shavu la kushoto mtandikwapo la kulia au wewe unatumia agano lipi?
 
Huyu mleta mada ni mtata sana,yaani hata haeleweki nia yake,anajiita mtumishi ilihali hashawishi umuamini kama ni mtumishi,maana ujumbe haufanani na maneno ya watumishi.kwani tangu awadharau wanaolalia vitanda vya chuma ndio nikamuona huenda atakuwa ana matatizo,si bure. Pole ndugu,jitahidi kufanana na watumishi kama utapenda kuendelea kujitambulisha kwa jina hilo.
 
At least tumia ID yako ya kila siku.. Usipost ujinga na kujificha
 
meta madaa utakuwa uko kwenye ndoto za mchana andika kitu kinachoeleweka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom