Hili ni lidege la kivita lililobuniwa na rubani wa kirusi bwana kostantin klinin mwaka 1933. Ilikuwa na matatizo mengi ya kiusanifu kubwa likiwa ni dege lote kutetema isivyo kawaida kwa sababu ya mapanga boi mengi kwenye ndege.Kwa sababu hiyo dege hili lilianguka wakati linarushwa kwa mara ya 11, na kuua watu 16, 15 wafanyakazi wa ndege na mtu mmoja aliyekuwa chini ardhini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.