Mbona anapokutana na timu ambazo ni za kawaida nao no mdebwedo? Wanakamia ili wapate ulaji kwenye timu kubwa.Nipeni Mimi yanga hiyoo,hayo ni maneno ya kocha wa mbao,kwakwel hata mie naunga mkono huyu jamaa ni kifaa sana
Kwa hiyo rangi,hiyo ni bodi ya Wamatopeni.Wana budi wa Yanga wanajadili Ombi lake.....
Hiyo rangi ni simba weweWana budi wa Yanga wanajadili Ombi lake.....
Mwisho wa siku yanga bingwa jamaniHuyo kocha asijisumbue!!Yanga haijawahi kufundishika kitaalam labda kichawi
Tatizo LA yanga ni technical staff.alafu yanga hawanaga kawaida ya kuingilia kupanga timu kama bi Hindu fc.aje ataleta mabadiliko makubwaMwambusi aliinoa Mbeya city vyema, ila baada ya kutua hapo bwawani anaonekana bure kabisa....
Huyo kocha abaki tu na mbao au aende kwingine ila siyo kwenye hizi club3 atatolewa kafara na ataishia kudharauliwa tu kama ilivyo kwa mwambusi sasa!!
Pressure za Yanga sio za Mbao.Nipeni Mimi yanga hiyoo,hayo ni maneno ya kocha wa mbao,kwakwel hata mie naunga mkono huyu jamaa ni kifaa sana
Ndiyo raha yake.Mwisho wa siku yanga bingwa jamani
Nipeni Mimi yanga hiyoo,hayo ni maneno ya kocha wa mbao,kwakwel hata mie naunga mkono huyu jamaa ni kifaa sana