Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #21
Kamanda toa ushahidi wa tuhuma zakoAkili za ki communist mbaya sana kwa mustkbali wa nchi yoyote ikiwemo Tz . Huko kwingine wanakojua uongozi ni nini ,hata kama mtu yuko madarakani haizuii watu kutangaza nia. Na haijalishi kiongozi kuambiwa madhaifu yake. Siyo hizi salaam za chama na serikali ya Tz ya ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI.
Maghufuli ni binaadamu ataishi na atapita Tanzania itabaki.