Kwa tabia hiyo anaweza hata kukupindua kwa mumeo huyo na akampa tunda Mjomba..Yeye ndio kawa Kama mwenye nyumba yan Mimi nifate anavyotaka akifanya kitu usiniulize ...ukimwachia hela ya matumiz usimuulize chenji ananuna hajibu nami nashinda kazin
Pole sana mkuu vipi ulishajaribu kutishia kuonfoka endapo mjomba ake anaendelea kumruhusu kufanya hayo kwako?Naishi na mume na mtoto wa wifi angu ana 26 miaka kaja kurudia mtihan
Kweli ananinyima usingizi bint hataki umwambie chochote akikosea ukimrekebisha ananuna anisemesh
1) ana group la wanafunzi wenzie wakija kusoma mpaka unaona aibu mavazi waliyovaa yaajabu ..maongez yao niyawanaume tu nikampiga marufuku mbele ya mjomba wake hawa mabint Kama hawana nguo nzuri za kuvaa nisiwaonde ndan kwangu...
alinuna wiki nzima, mama mkwe alipokuja kutusalimia ambae Ni bibi yake kamlea akaanza kuwaleta tena nilivyomkataza alizila kula wiki siku 2 mama mkwe akanichukia
2) anakibur yan usimwambie hata fanya usafi anataka yeye ndie apange kila kitu ndan akikosea usimwambie kitu
Mbaya zaidi mme wangu yaan nimpole kupita maelezo ambae hawez kuongea wala kukemea kitu yan hata kwangu nimtu asieweza kabisa
Bint anaweza rudi ata usiku mjomba wake anaishia kuguna tu
Nimejaribu kumweleza tabia ya mwanae lkn ananyamaza tu
Sijui nifanyeje jmn
There is this Poem which mirrors exactly the societal differences we are undergoing, "A Freedom Song'" by Marjorie Oludhe Macgoye...............Naishi na mume na mtoto wa wifi angu ana 26 miaka kaja kurudia mtihan
Kweli ananinyima usingizi bint hataki umwambie chochote akikosea ukimrekebisha ananuna anisemesh
1) ana group la wanafunzi wenzie wakija kusoma mpaka unaona aibu mavazi waliyovaa yaajabu ..maongez yao niyawanaume tu nikampiga marufuku mbele ya mjomba wake hawa mabint Kama hawana nguo nzuri za kuvaa nisiwaonde ndan kwangu...
alinuna wiki nzima, mama mkwe alipokuja kutusalimia ambae Ni bibi yake kamlea akaanza kuwaleta tena nilivyomkataza alizila kula wiki siku 2 mama mkwe akanichukia
2) anakibur yan usimwambie hata fanya usafi anataka yeye ndie apange kila kitu ndan akikosea usimwambie kitu
Mbaya zaidi mme wangu yaan nimpole kupita maelezo ambae hawez kuongea wala kukemea kitu yan hata kwangu nimtu asieweza kabisa
Bint anaweza rudi ata usiku mjomba wake anaishia kuguna tu
Nimejaribu kumweleza tabia ya mwanae lkn ananyamaza tu
Sijui nifanyeje jmn
Miaka 26 hajapevuka?????????!!!Mwache ndo anapevuka vizuri akikua ataacha
hasa yeye kalelewa malezi ya kibibi tuKuishi na Mtoto wa mtu Ni kazi.
Ningekuwa ndio Mimi ningemrudisha kwao..kukaa na Mtu mwenye kiburi siwezi.
Anataka kukaa Basi awe mpole,hawezi aondoke
Miaka 26 anarudia mtiani gani?Anafanya mtihan mwez wa 11 ataenda wapi?
Form 4Miaka 26 anarudia mtiani gani?
Form 4