Nchimbi anaibua Mazuri ya Serikali dhidi ya Mabaya Machache, Makonda anaibua Mabaya Mengi dhidi ya Mazuri machache kati yao nani Bingwa wa Siasa?

Kinachotakiwa ni mabadiliko ya mfumo wa utawala kwa faida ya wengi.
Iwe CCM au upinzani, itategemea nani atawahi. Mama Samia kaja na 4R, Makonda kajaribu ktatua kero kwa uwazi, Nchimbi na Mongela kutatua kero kimya kimya huku upinzani ukitoa hoja za kutatua matatizo na changamoto kwa njia zao.
Kwa mwananchi wa kawaida, shida zake ziondoke bila kujali jina la anayeziondoa.
 
Kupo ulikolalia!
 
Makonda Yuko vzr kujitekenya na kucheka.....mtu anajitekenya hacheki haipendezi ...tafsiri upendavyo..
 
A
Asiyejua kuwa Serikali haifanyi kitu ni nani hata ahitaji kuambiwa? Kwa ujumla WaTz ni wajinga, kwa sababu hao wote wawili wanawachezea shere, mbaya zaidi wanakubali kuchezewa! Wote ni takataka tu mpaka mwenyekiti wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…