Kwa chukihii munayo ipandikiza kwa wananchi Musipo wajibika mutaitengeneza Tanzania mbaya yenye visasi.
Igunga mtu alichinjwa mpaka kufa hatujaona lolote linalo endelea.
Viongozi wa siasa wamevamiwa na majambazi na kupigwa sana tena mbele ya polisi katika Campaign hatuoni lolote
Morogoro mtu kapigwa risasa Majibu ni blabla
Na Mwandishi wa Habari ameuwawa kwa bomu na Polisi wanafahamika (Munatupa report kuwa ni kitu kilichotupwa na wananchi)
Tuachane na hayo je wajane na watoto wanao achwa yatima kwa uzembe na chuki za maaskari munao watuma kwenda kuhatarisha maisha ya wananchi, munawajengea mioyo gani? je Tukizalisha kizazi chenye chuki na kisasi kwa polisi tutaishi kwa amani?
Kwakifupi Amani ya nchi hii inaharibiwa na Selikali (WAZIRI NA IGP SAID MWEMA MUWAJIBIKE)
Hapo kwenye red,atakuwa anaotaEmmanuel Nchimbi mpaka sasa hujaona sababu ya kujiuzulu? Je unafurahia mauaji haya?
Mbaya zaidi unakuja na matamko yenye utata kuhusu haya mauaji. Hivi ni lini viongozi wa nchi hii mtaacha kuwa wanafiki na msiopenda kuwajibika. Na mbona matukio ya wananchi kuuawa na polisi yameongeza sana baada ya wewe kupewa hii wizara? Kwa nini tusiamini kwamba ulipewa hii wizara kwa kazi ya kuua watanzania? kwa nini tusiamini kwamba wewe ndio unatoa maagizo ya mauaji haya.
Nasikikia una mpango wa kugombea urais 2015, hivi ukipewa madaraka si ndio utachinja watu hadharani. Hii haikubaliki, Nchimbi lazima uondoke!!!!
Kauli ya nchimbi kwa kusema Mwandishi Daudi Mwangosi ameuwawa kutokana na bomu la machozi ambalo halikulipuliwa kitaalamu, ni kauli angalau inayo kidhi haja. Na hivyo ndivyo inapaswa kwa IGP pia kutamka kwani naamini Nchimbi ametaarifiwa na IGP. Hivyo IGP na RPC Iringa wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja kwa kuongea uongo na kuwa wazushi.
Emmanuel Nchimbi mpaka sasa hujaona sababu ya kujiuzulu? Je unafurahia mauaji haya?
Mbaya zaidi unakuja na matamko yenye utata kuhusu haya mauaji. Hivi ni lini viongozi wa nchi hii mtaacha kuwa wanafiki na msiopenda kuwajibika. Na mbona matukio ya wananchi kuuawa na polisi yameongeza sana baada ya wewe kupewa hii wizara? Kwa nini tusiamini kwamba ulipewa hii wizara kwa kazi ya kuua watanzania? kwa nini tusiamini kwamba wewe ndio unatoa maagizo ya mauaji haya.
Nasikikia una mpango wa kugombea urais 2015, hivi ukipewa madaraka si ndio utachinja watu hadharani. Hii haikubaliki, Nchimbi lazima uondoke!!!!