Em weka iyo list maana bongo sijaiona bado wala iyo EthiopiaNimeangalia hii video inayotabiri uchumi wa dunia baada ya miaka 2100 nimekuja kushangaa Tanzania ipo kwny top 20 dunia
Nchi za afrika zilizokuwepo ni nigeria,Ethiopia na Tanzania tu
Tanzania itakuwa ya 16 dunia kwa uchumi mkubwa dunia mpaka 2100
Maana na sisi tutakuwa kwny G20
Angalie hii video mpaka mwisho utaona hii kitu
Hii video ipo vizur kwny kutabiri uchumi wa dunia coz ndio ina view nyingi kuliko video yoyote inayoelezea uchumi unao kuja
View attachment 1363621
Mwisho wa hii video wanaonesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya miaka 2100? Yaani baada ya milenia mbili na Karne moja?Nimeangalia hii video inayotabiri uchumi wa dunia baada ya miaka 2100 nimekuja kushangaa Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa ulikufa kitambo muda huo. Wata-enjoy watoto wako na wajukuu zako.
Madingi mzeebaba??!! 2100 kipindi hiyo ushadanja kitambo tu!!
Dah...kwahiyo wewe hapa ndiyo umechanganya na zako tayari?
Dah...usikute ndiyo sababu ya kutengenezwa CoronaNimeangalia hii video inayotabiri uchumi wa dunia baada ya miaka 2100 nimekuja kushangaa Tanzania ipo kwny top 20 dunia
Nchi za afrika zilizokuwepo ni nigeria,Ethiopia na Tanzania tu
Tanzania itakuwa ya 16 dunia kwa uchumi mkubwa dunia mpaka 2100
Maana na sisi tutakuwa kwny G20
Angalie hii video mpaka mwisho utaona hii kitu
Hii video ipo vizur kwny kutabiri uchumi wa dunia coz ndio ina view nyingi kuliko video yoyote inayoelezea uchumi unao kuja
View attachment 1363621
Mwisho wa hii video wanaonesha
Sent using Jamii Forums mobile app