DuniaTanzania
New Member
- Jul 28, 2021
- 3
- 9
Mkuu hata hao watu wasipoihubiri habari njema za wokovu, hakika hata mawe yanaweza kuongea ili kila mtu ulimwenguni kote akapate kuzisikia habari hizo kabla ya siku ya hukumu kufika. Kuwa na amani tu.Watanzania wapambanaji wenzangu habari.
Moja kwa moja kwenye mada hapo juu.Binafsi nimekuwa nakereka na tabia ya baadhi y watanzania wenzetu ambao wamegeuza maeneo ya kupumzika,majengo ya abiria na vyombo vya usafiri kama sehemu ya kufanyia mahubiri au mtangazo ya dini.
Hii imekuwa too much sana,naelewa katiba inatoa haki ya kila mtz kuabudu apendapo lakini sina hakika kama inatoa mwanya wa ku'interfere utulivu wa wengine kisa unaeneza dini yako mahali ambapo kuna watu wengi wenye itikadi tofauti na yako.
Mbaya kuliko zote ni kuwa wahubiri hawa wamekuwa wakifanya hivyo maeneo ambayo sidhan kama ni sahihi!Nadhan maeneo kama vituo vya mabasi au katika vyombo vya usafiri na mahali penye mikusanyiko ya watu isiyo ya kidini si mahali sahihi pa kuhubiria.
Nnajua kuwa baadhi au wengi wao ni wanatumwa na vyombo maalumu ili kunusanusa(!) lakini hii imekuwa kero sasa.
Napendekeza watu hao wangekuwa wanatoa elimu juu ya maliasili,haki,historia nk kuhusu nchi yetu.Bahati mbaya sana wanaendeleza kuwajaza watu wetu mapokeo ambayo sidhan kama yana tija.
Kwa mjibu wa nini!Mahubiri kwake ni Misikitini na Kanisani Sio kila Sehemu....!
Na wanaopiga mziki, watoa matangazo kwa vipaza sauti hao wote hawajakukera? ...MKUU UNATUMIWA NA SHETANI AMINI kwamba
Kwenye basi la abiria mchanganyiko hakutakiwi mawaidha au mahubiri.Umepotea ndugu yangu Mungu akupe wepesi hilo pepo chafu likutoke na kemea hy roho ya kishetani inayokuingia yn unataka utulivu gani juu ya mahubiri ya Mungu huoni ht hilo gari ukipanda bado linapiga mikelele ilaww unaona mahubiri yanakunyima utulivu
Hata kufungulia stesheni za redio za hayo mambo ni usumbufu mkubwa sana kwa baadhi ya abiria.Kwenye basi la abiria mchanganyiko hakutakiwi mawaidha au mahubiri.
Hilo ni pepoUtakuta mko ndani Ya Daladala umetulia unatafakari Maisha , anatokea Mtu anaanza kufoka foka mikelele mwanzo mwisho Kisa 'eti Anahubiri' ... Yaani huwa natamani nimchabange mikofi....!
Tulishaoewa amri,lazima habari njema ifike kila kona,,hivyo upende usipende,lazima usikilize tu,,Mahubiri kwake ni Misikitini na Kanisani Sio kila Sehemu....!