Na ndiyo hoja yangu kwamba tatizo la Tanzania au Afrika kwa ujumla SIYO Lugha Kiingereza bali tatizo liko sehemu nyingine kabisa na sababu hasa ya mimi kuleta hii mada kwa maana tumekuwa tukiaminishwa kwamba sisi ni masikini kwa maan hatujui kiingereza sasa kama ni hivyo basi nilitegema wanaojua Kiingereza wawe wameendelea lkn SIYO kweli hivyo tatizo letu liko mahali pengine kabisa na ni kweli hata kama leo TZ yote tukizumzungumza Kiingereza kama Uingereza bado tutakuwa masikini tu, ndiyo hoja yangu!
Na ndiyo hoja yangu kwamba tatizo la Tanzania au Afrika kwa ujumla SIYO Lugha Kiingereza bali tatizo liko sehemu nyingine kabisa na sababu hasa ya mimi kuleta hii mada kwa maana tumekuwa tukiaminishwa kwamba sisi ni masikini kwa maan hatujui kiingereza sasa kama ni hivyo basi nilitegema wanaojua Kiingereza wawe wameendelea lkn SIYO kweli hivyo tatizo letu liko mahali pengine kabisa na ni kweli hata kama leo TZ yote tukizumzungumza Kiingereza kama Uingereza bado tutakuwa masikini tu, ndiyo hoja yangu!
Naomba kujifunza kutoka kwako:Hata wewe bado haujaelewa! Serikali haijakitupa kiingereza bali kitabaki kuwa somo kama vile yalivyo masomo mengine, na hivyo umahiri wa hilo somo utategema na umahiri wa mwalimu wa hilo somo, ni kama vile Hisabaiti tu ni somo kama lingine na ili lieleweke vizuri ni lazima Serikali iwekeze kwenye walimu wazuri wa Hisabati, hivyo kama Kiingereza (kama somo) kikifundishwa kwa ufanisi na ufasaha hakuna shida wanafunzi wataelewa tu, tatizo liko wapi?
Naomba kujifunza kutoka kwako:
Unaonaje masomo kama vile physics, chemistry, biology na sheria, unazani itatusaidia kupata wataalamu wa masomo hayo iwapo tutafundishwa kwa kiswaahili.
Naomba kujifunza kutoka kwako:
Unaonaje masomo kama vile physics, chemistry, biology na sheria, unazani itatusaidia kupata wataalamu wa masomo hayo iwapo tutafundishwa kwa kiswaahili.
Kingereza hakikwepeki, hata Wafaransa wamelijua hilo na sasa wapo mbioni kubadilisha mfumo wao. Na hata hao Wamorocco wapo wengi wamekipokea Kingereza pakubwa BBC News - English speaking in Morocco on the increase
French finally admit you must speak English to be a real leader
By PETER ALLEN FOR MAIL ON SUNDAY
- National School of Administration is making English fluency a requirement
- From 2018 it will be a rule of entry for school producing French ruling class
- Defies traditionalists including former French President Jacques Chirac
- In 2006 he pledged to stop the spread of English language internationally
PUBLISHED: 00:37 GMT, 15 February 2015 | UPDATED: 00:37 GMT, 15 February 2015
2.3kshares
1View comments
For centuries France has held out against the dull language of 'les rosbifs' just across the Channel.
But now the country's future leaders have been told they must master English – a dramatic climbdown for a nation that has tried to ban words such as 'le weekend' from encroaching on its precious vocabulary.
ENA, the elite National School of Administration in Strasbourg, which produces the French governing class, is to make mastery of English a compulsory rule of entry from 2018.
+2
Nathalie Loiseau, director of the elite National School of Administration in Strasbourg, which produces the French governing class, has said the school will make mastery of English a compulsory rule of entry from 2018
An ENA spokeswoman said fluency in English was essential to run a modern state, and that potential students had to be prepared. The move is in defiance of traditionalists including former French President Jacques Chirac, who in 2006 pledged to stop the spread of English internationally.
RELATED ARTICLES
Learn how to speak Spanish with former footballer turned... Erin Bookovich: Julia Roberts brushes up on her trivia as... How NOT to be a Brit abroad: Forget the ridiculous hats, use...
SHARE THIS ARTICLE
Share
'We fight for our language,' said Mr Chirac, himself an ENA graduate, after walking out of a European Union summit when a French business chief spoke in English. 'I was profoundly shocked to see a Frenchman express himself in English,' said Mr Chirac. 'You cannot base a future world on just one language, just one culture. It would be a dramatic decline.'
Nathalie Loiseau, ENA's director, confirmed that the reform reflected a break with the past, saying French words are stuffy and outdated. 'The usual words such as 'sacrifice', 'vocation' and 'commitment' sound half religious, half military,' she said.
+2
The move is in defiance of traditionalists including former French President Jacques Chirac (pictured) who in 2006 pledged to stop the spread of English internationally
Read more: French finally admit you must speak English to be a real leader- | Daily Mail Online
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
Duuuuuu umeua! nimeshangaa mada yake kubwa inahusu lugha, point yake kubwa ya reference ni morroco. Hio morocco hajaweza kusema wanaongea lugha gani.
Poor you cc: limetumbuka
Watanzania hata Kiswahili hawajui.
Wanatafuta mchawi wakati tatizo lao uchafu.
Hata wakibadilisha mambo kwenda Kiswahili watajikuta hawakijui.
Then what?
Tubadilishe kwenda kwenye lugha za makabila?
Kusoma kiingereza na lugha zingine za kigeni ni jambo muhimu sana. Wachina wanasoma kwa kutumia kichina lakini aibu ni kwamba ukiinia hotel za wachina kule kwao uchina unakuta anaejua kiingereza ni hotel meneja tu wengine wote ukiwasemesha kiingereza wanakimbia kumwita hotel meneja. Naomba aibu hii isitupate watanzania.
Kusoma kwa kiswahili sio zambi lakini je kitatusaidiaje linapofika swala la kimwingiloano wakimataifa. Binafsi nahisi tutafeli.
Uzembe wetu wakujisomea luga mbalimbali na vitu vingine isiwe sababu yakukimbilia kukataa kiingereza na luga zingine za kigeni.
Tatizo kubwa ulilonalo ninavyodhani ni kama walivyo wengi hata hamuelewi kinachongelewa nahisi!
Hakuna Mtu anayepinga ya kwamba Kiingereza SIYO muhimu, Kiingereza ndiyo lugha ya Dunia sasa hivi, kila mtu mwenye akili timamu analijua hilo, Kiingereza ndiyo lugha ya Sayansi na Utafiti Duniani, kila Mwanasayansi analijua hilo, Publications zote ukitaka zikubalike ni lazima uchapishe kwa Kiingereza kila Mtu analijua hilo!
Na ndio maana Raisi Kikwete au sera mpya ya Elimu ya TZ haijafuta Kiingereza bali inataka kufanya Kiingereza kibakie kufundishwa kama somo, na kama kikifundishwa vizuri kama wanafunzi na walimu wakipewa nyenzo za kutosha inatosha kabisa mtoto kuweza kumudu kutumia lugha ya kiingereza bila tatizo lolote lile, labda hatakuwa na lafudhi kama ya Mmrekani lakini ataweza kukitumia kiingereza pale anapokihitaji, lakini pale kisipohitajika basi Kiswahili ambacho ndiyo kinaeleweka na Watz wengi kitumike!
Kuna haja gani nesi wa Hospitali anakwenda kutibu wagonjwa wa Nzega alazimishwe asome kwa kiingereza? Kuna haja gani kijana wa Kitz anayetaka kusomea ufuundi magari VETA alazimishwe asome kila kitu kwa Kiingereza? Kuna haja gani ya Mtz anayefanya kazi kwenye counter ya benki ya kukufungulia na kukupa huduma za kibenki alazimishwe kusoma kwa Kiingereza?
Unachokosea ni kuniita muongo...hayo meingine yanayohusu vyuo vikuu na wageni kulazimishwa kusoma kikorea nakuachia mwenyewe na watunga sera wa korea. Mhimu ujue tu kuwa sera huwezi kuiingiza kwa pupa, mambo yanaenda kwa utaratibu...vijana wengi wanaokuja kuanza degree ya kwanza vyuo vingi nchini korea ya kusini wanapiga ung'eng'e hata mgeni kama mie wananisikiliza. Nafundisha power electronics full english, miaka 3 ~ 5 iliyopita vitu hivyo havikuwa rahisi hapa korea.Wewe ni Muongo Namba moja Duniani! Nimefika Korea Kusini na hawatumii Kiingereza, Kiingereza kinafundishwa kama Somo na masomo mengine yote yaliyobaki yanafundishwa kwa kikorea, Chuo Kikuu unaweza kusoma Kiingereza ukiwa na bahati lakini ni advanced degrees tena za baadhi sana lkn degree ya kwanza ni kikorea kitupu na ili usome Korea haijalishi unatoka wapi lazima mwaka mmoja usome kikorea na kufanya mtihani wa kikorea kwanza!
Nafikiri mimi na wewe tumebanana kwenye nyuzi kadhaa kuhusiana na hili jambo, ila naona hatufikii hitimisho. Msimamo wangu siku zote umekua kwamba lugha zote mbili ni muhimu kusoma kwa kuzitumia, yaani zikisaidiana. Teknolojia zetu zote zimeletwa na maelezo kuandikwa kwa Kingereza. Na inafahamika huwezi kuwa mahiri kwa lugha bila kuitumia katika mawasialiano. Lazima uongee japo kiduchu ili uzoee na kuitumia.
Nimekumbana na Watanzania waliofika fomu nne na wana matatizo kabisa kwenye lugha ya Kingereza, yaani mtu hadi SMS ya Mpesa iliyoandikwa kwa Kingereza inabidi anipe nimtafsirie. Nenda sasa hivi kwenye duka la dawa Dar, angalia chupa zote na satchet, maelekezo pamoja na side effects zote zimeelezwa kwa Kingereza.
Narejelea tena, lugha lazima uongee kiasi ili uwe na uwezo wa kuitumia, na ndio ni muhimu wahadhiri wawe wanafunza kwa lugha zote mbili, anaweza akatumia Kiswahili sana, lakini anasukumia na Kingereza ili kumzoesha mwanafunzi kusikia jinsi Kingereza hutumika katika maongezi.
Unachokosea ni kuniita muongo...hayo meingine yanayohusu vyuo vikuu na wageni kulazimishwa kusoma kikorea nakuachia mwenyewe na watunga sera wa korea. Mhimu ujue tu kuwa sera huwezi kuiingiza kwa pupa, mambo yanaenda kwa utaratibu...vijana wengi wanaokuja kuanza degree ya kwanza vyuo vingi nchini korea ya kusini wanapiga ung'eng'e hata mgeni kama mie wananisikiliza. Nafundisha power electronics full english, miaka 3 ~ 5 iliyopita vitu hivyo havikuwa rahisi hapa korea.
Kwa hiyo huoni kuwa hiyo ni transition stage ya kuja baadae kuhamia kwenye kiingereza?Nakuita Muongo kwa maana Korea Kusini Elimu ni ya Kikorea kuanzia chekechea mpaka Chuo Kikuu na kama kuna kozi ya kiingereza basi ni kozi maalumu hata shule za Kiingereza kwa maexpert zipo, lakini Lugha rasmi ya kufundishia Korea ni kikorea kuanzia chekechea mpaka Chuo Kikuu!
Wakorea kuongea kiingereza haimaanishi kwamba Elimu yao ni kiingereza, HAPANA wanaongea kiingereza kwa maana Kiingereza kama Somo limetiliwa mkazo na mpaka wana native speakers wanaofundisha Kiingereza au Wakorea wanaosomea kuwa walimu wa Kiingereza huwa mpaka wana programm ya kwenda kukaa mwaka mzima serikali inalipa kwenye nchi ya Kiingereza ili waweze kufundisha Kiingereza vizuri, lakini Kiingereza kinafundishwa kama somo tu na kwa kuwa kinafundishwa vizuri ndio maana watoto wanaweza kukiongea!
Jarida la the Bloomberg la Marekani limechapisha the most innovative countries in the World na nchi ya kwanza mpaka ya tano hakuna hata moja inayozungumza au kutumia Kiingereza Nchi ya kwanza ni Korea Kusini(kikorea), ya pili Ujapani(kijapani) na ya tatu ni Ujerumani(Kijerumani) lakini lililonivutia kuliko yote na hata kunifanya nilete mada hii hapa ni nchi ya Moroko ambayo iko Kaskazini mwa Bara la Afrika nchi hii imeshika nafasi ya 50 katika nchi most innovative Duniani.
Sasa hizo za kwanza mtasema ni nchi tajiri tayari na Je Moroko? Wamewezaje kuwa the most innovative country (50) in world wakati Watanzania wanajua kiingereza kuwashinda hata Wamoroko?
Na kama kiingereza ndiyo Maendeleo mbona Kenya,Uganda na sijui Zambia, Nigeria na Zimbabwe ambao watoto wanabandikwa makaratasi mgongoni yanayosema.
Iam stupid for speaking African language" hawamo kwenye orodha ya most innovative countries?
Most Innovative: Countries - Bloomberg Best (and Worst)
Kwa hiyo huoni kuwa hiyo ni transition stage ya kuja baadae kuhamia kwenye kiingereza?
DUH HUJANISHAWISHI BADO, INAMAANA YA (50) KWAKO IMEFANYA VIZURI?? NA APO BTN YA 4 NA YA 49 MBONA HAUJATAJA NI AKINA NANI?? NAAMINI HAPO NDO WAMEJAA WAONGEA KIZUNGU U WAMAANISHA NINI??
MM WADAU TAHMINI HII YATIA SHAKa
China hayo masomo yote yanafundishwa kwa kichina na still wamepiga hatua kwenye hii inshu option zilikuwa mbili tu aidha kufundisha kwa kiingereza kuanzia vidudu mpk chuo kikuu au kutumia kiswahili kuanzia vidudu mpk chuo, nashukuru serikal imechagua moja maana ilikuwa mvurugano shule ya msingi miaka 7 unafundishwa kiswahili unaingia secondary unafundishwa kwa english.