Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,399
- 9,077
Toka afrika mashariki
Tanzania 🇹🇿
Burundi 🇧🇮
Rwanda 🇷🇼 nashangaa wamejumuishwa kuwa wamepiga kura ya mabeberu tofauti na ukweli ulivyo
Uganda 🇺🇬
Sudan kusini🇸🇸
Kutoka afrika mashariki nchi zilizo kubaliana na mabeberu
Kenya 🇰🇪
DR Congo
NB:
Kura hizi pia huwa zina nunuliwa ili mataifa yenye nguvu kupitisha ajenda zao na mataifa mengine kunufaika na pesa hizo kwa kupiga kura hata kama ni kinyume na utaratibu Au athari mbaya
Pia mataifa yanayo athiriwa na kura hizo huwa zina ziangalia kwa jicho la taadhari mataifa ambayo yanapiga kura tofauti na wao, na wana weza kuwa katia misaada Au kuboresha mahusiano ili aweze tumika huko mbeleni
Hizo ni siasa za ktk umoja wa mataifa...
Wengi huwa tuna chukulia poa kwanini Tanzania 🇹🇿 huwa ina kaa katikati hata katika mambo tuna hisi yapo wazi tofauti na huko nyuma ilivyokuwa ikisifika kama mtetezi na kukemea wazi wazi baadhi ya mambo
Tanzania 🇹🇿
Burundi 🇧🇮
Rwanda 🇷🇼 nashangaa wamejumuishwa kuwa wamepiga kura ya mabeberu tofauti na ukweli ulivyo
Uganda 🇺🇬
Sudan kusini🇸🇸
Kutoka afrika mashariki nchi zilizo kubaliana na mabeberu
Kenya 🇰🇪
DR Congo
NB:
Kura hizi pia huwa zina nunuliwa ili mataifa yenye nguvu kupitisha ajenda zao na mataifa mengine kunufaika na pesa hizo kwa kupiga kura hata kama ni kinyume na utaratibu Au athari mbaya
Pia mataifa yanayo athiriwa na kura hizo huwa zina ziangalia kwa jicho la taadhari mataifa ambayo yanapiga kura tofauti na wao, na wana weza kuwa katia misaada Au kuboresha mahusiano ili aweze tumika huko mbeleni
Hizo ni siasa za ktk umoja wa mataifa...
Wengi huwa tuna chukulia poa kwanini Tanzania 🇹🇿 huwa ina kaa katikati hata katika mambo tuna hisi yapo wazi tofauti na huko nyuma ilivyokuwa ikisifika kama mtetezi na kukemea wazi wazi baadhi ya mambo