Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa wakataa kuyatambua majimbo ya Ukraine yaliyochukuliwa na Urusi

Toka afrika mashariki
Tanzania 🇹🇿
Burundi 🇧🇮
Rwanda 🇷🇼 nashangaa wamejumuishwa kuwa wamepiga kura ya mabeberu tofauti na ukweli ulivyo
Uganda 🇺🇬
Sudan kusini🇸🇸

Kutoka afrika mashariki nchi zilizo kubaliana na mabeberu
Kenya 🇰🇪
DR Congo

NB:
Kura hizi pia huwa zina nunuliwa ili mataifa yenye nguvu kupitisha ajenda zao na mataifa mengine kunufaika na pesa hizo kwa kupiga kura hata kama ni kinyume na utaratibu Au athari mbaya

Pia mataifa yanayo athiriwa na kura hizo huwa zina ziangalia kwa jicho la taadhari mataifa ambayo yanapiga kura tofauti na wao, na wana weza kuwa katia misaada Au kuboresha mahusiano ili aweze tumika huko mbeleni

Hizo ni siasa za ktk umoja wa mataifa...

Wengi huwa tuna chukulia poa kwanini Tanzania 🇹🇿 huwa ina kaa katikati hata katika mambo tuna hisi yapo wazi tofauti na huko nyuma ilivyokuwa ikisifika kama mtetezi na kukemea wazi wazi baadhi ya mambo
 
Ni waz putin wameshamchoka ameshindwa kila sehemu ,china naona kamkacha kiaina.

Nchi wanachama wa U.N wamepiga kura ya kutoyatambua majimbo yaliyochukuliwa kiharamu na dicteta putin. Ni nchi 5 tu ndizo zimeungana na putin. Africa hakuna aliyemuunga.
CNN

=====

Strong majority of countries rebukes Russia at UN

Nahal Toosi and Ryan Heath
Thu, October 13, 2022, 12:40 AM·3 min read

View attachment 2385386
caef4b0bb7d97899262c105e272b44d6

Bebeto Matthews/AP Photo

An overwhelming majority of countries castigated Russia on Wednesday over its claims to have annexed Ukrainian territory, with 143 voting in favor of a critical U.N. resolution after heavy lobbying by the U.S., Britain and the European Union.

Five countries voted against the resolution — Russia, and four other dictatorships: North Korea, Syria, Belarus and Nicaragua.

It was a stronger showing than many Western officials had predicted ahead of the vote. The ballot followed one of Russia’s biggest attacks on Ukraine since its invasion in February, with missile strikes in more than 20 Ukrainian cities, including Kyiv, the capital.
Lakini kuitambua Israel na kuiacha Palestina walikubali.. mbona double standard kubwa hivyo kutoka kwa hao watu wa upinde wa mshale

Sent from my JamiiForums mobile app
 
Ni waz putin wameshamchoka ameshindwa kila sehemu ,china naona kamkacha kiaina.

Nchi wanachama wa U.N wamepiga kura ya kutoyatambua majimbo yaliyochukuliwa kiharamu na dicteta putin. Ni nchi 5 tu ndizo zimeungana na putin. Africa hakuna aliyemuunga.
CNN

=====

Strong majority of countries rebukes Russia at UN

Nahal Toosi and Ryan Heath
Thu, October 13, 2022, 12:40 AM·3 min read

View attachment 2385386
caef4b0bb7d97899262c105e272b44d6

Bebeto Matthews/AP Photo

An overwhelming majority of countries castigated Russia on Wednesday over its claims to have annexed Ukrainian territory, with 143 voting in favor of a critical U.N. resolution after heavy lobbying by the U.S., Britain and the European Union.

Five countries voted against the resolution — Russia, and four other dictatorships: North Korea, Syria, Belarus and Nicaragua.

It was a stronger showing than many Western officials had predicted ahead of the vote. The ballot followed one of Russia’s biggest attacks on Ukraine since its invasion in February, with missile strikes in more than 20 Ukrainian cities, including Kyiv, the capital.
Kenya itatawala hii East milele maana sisi wengine hatujui kujiweka sehem sahihi kujiendeleza yaan tunakaza shingo kuegemea upande wa China na Urusi watu wanafikiria hata kuja kuchukua ajira zetu za kuuza mahindi , Kenya anajichukulia points baada ya migogoro utaona kenya atakavyo jipigia bingo
 
Hayo maamuzi ni non binding......ukitaka kuitambua utaitambua usipotaka huitambui na hawalazimishi nchi kutambua wala kutotambua hayo maeneo.....ni kama kura za maoni tu.

Mrusi alitaka kura za siri maana anajua mataifa mengi yangepiga kura kuwafurahisha wamagharibi ili nchi zao zisije kupata shida, Un wakachomoa.


View attachment 2385472
mamb mdo mdo Iraq na Libyia ilikuwa hv
 
Wakati USA inaivamia Iraq UN iliruhusu?

Wakati USA anaichukua Guantanamo bay ya Cuba UN iliruhusu?

Wakati Russia inaichukua Cremia 2014 UN iliruhusu?

Jibu la hayo maswali yote ni "HAPANA"

SASA KIPI KINAKUFANYA UFIKRI HIZO POROJO ZA UN ZITABADILISHA MAAMUZI YA URUSI NA RAIA WALIO AMUA WAO KUJITENGA NA UTAWALA WA KINAZI.

UN ipo kwajili ya kuendesha Nchi masikini na zilizo kaa kinyonge tu, Hao kina USA na Russia wapo kwenye ulimwengu wao wala hawaendeshwi na UN.
ww ni kubwa jinga mzaz wako alipiteza ada tu , hv alievamiwa na USA au UKRAINE ? tunapinga uvamiz wa Urusi kwa nchi iliyo huru ya Ukraine , kama USA alikosea sehem bas kosa lake halihalishi nchi nyingine kuvamia nchi dhaifu , HUO NI UNYAN WA KIAKIL
 
Nireteeni Putin, nireteeni Putin........ (In the late Magufuli's voice)! Piga sana hao Ukraine mpaka UN Security Council wachanganyikiwe!!
kwann unashangilia nchi iliyo huru kuvamiwa , utaletewa majina ya nchi nyingine wala hutosikia mtu akisema ukraine imevamiwa kwasabab moja mbili tatu , WALE MAZOMBIE TULIOKUWA TUNAWAONA KWENY MUVI TUNAWAONA SASA HV MITANDAON WATU AKILI NI 0 KBS , ETI KISA USA ILIVAMIA IRAQ ETC BAS NI SAWA NCHI NYINGINE KUVAMIWA PIA , SASA UNAJIULIZA MBONA SION UHUSIANO
 
Na inakuwaje hawa raia waliopo Jamii forum wanamtetea mrusi , mwakilishi wa nchi yao kule UN ameshindwa kuwakilisha matarajio yao ?
weng wavaaa kobaz wanahis vile ni vita vya kidini hlf wanasaha urusi na ukraine ni dini moja wote so mitizamo yao kidin inafanana tu
 
ww ni kubwa jinga mzaz wako alipiteza ada tu , hv alievamiwa na USA au UKRAINE ? tunapinga uvamiz wa Urusi kwa nchi iliyo huru ya Ukraine , kama USA alikosea sehem bas kosa lake halihalishi nchi nyingine kuvamia nchi dhaifu , HUO NI UNYAN WA KIAKIL
Basi kila mtu ashinde mechi zake mrusi nae hana kosa acha nalo lipite tu
 
Mbona hawayakatai maeneo yaliyochukuliwa na Rain bow namba Moja Israel?
kwan lin Israel kaanza kuwapiga Palestina , mara nying Palestina huanza wapiga Israel na wao hujibiwa , wapalestina sio watu wa kuungwa mkono , kwa dunia ya leo ni ngumu kuchagua wa kuish nae , mtu mbaguz anaeza mbagua hata ndugu zake , wavaa kobaz kuwen makin mnajiingizaga mtegon kwa kusapot kila kitu kisa ni dini moja , wapo waisrael waislam ila hao jamaa wanawabagua
 
Saddam walimuonea Dunia nzima tena kwa vitendo
Nchi hizi zilizopiga kura ndizo zilizompiga Saddam kwa kosa hili hili ila Mbabe wameamua kubweka kama mbwa tu mara ooh tunapinga uvamizi mara tunatuma silaha
Ziko wapi Bomber 52 na Stealth zao ?
Wakazitumia sasa kumuadabisha Putin

Ila wote ni washabiki na kila mtu anaangalia upande anaoona sawa
Ila unafiki tuuweke pembeni Mrusi ni Mbabe na hawawezi kumpiga zaidi ya kuuaminisha umma kuwa tunatuma silaha kwa ukraine maongo haya

Yanavyopenda sifa mngeonyeshwa zikipakiwa na kushushwa kila siku
kama China na India ( soko la wazungu ) wakikaa pemben basi Urusi anachakaa mapema sana , na wazungu wana mahesabu watajitahidi kuchochea ugomv kati ya India na China aua China na Taiwan mmoja akijaa tu akawa bize na vita bas Urusi kaisha yaan atapigwa kama ngoma , Yeye mwenyew alikiri kuwa wazungu wanajiandaa kumvamia
 
kama China na India ( soko la wazungu ) wakikaa pemben basi Urusi anachakaa mapema sana , na wazungu wana mahesabu watajitahidi kuchochea ugomv kati ya India na China aua China na Taiwan mmoja akijaa tu akawa bize na vita bas Urusi kaisha yaan atapigwa kama ngoma , Yeye mwenyew alikiri kuwa wazungu wanajiandaa kumvamia
Madua yenu tokea mwezi wa 2 mnaomba ila mungu wenu shoga hawatimizii malengo yenu
 
Na Hao wa5 ndo wanaume, Wasiopiga Kura ni Wanafiki na Walioungana na UN ni Mashoga
usipaniki bro wenzio wanaangalia mbali hata China hamuamin Putin maana kuanguka kwa west bas upinzan unakuwa jiran yake yaan India na Urusi
 
Lakini kuitambua Israel na kuiacha Palestina walikubali.. mbona double standard kubwa hivyo kutoka kwa hao watu wa upinde wa mshale

Sent from my JamiiForums mobile app
kasome historia vzr wapalestina ni wabaguz , awali walipewa fursa ya kuunda taifa moja na Israel ubaguz wao ndo hatima yao mpk kesho
 
kama China na India ( soko la wazungu ) wakikaa pemben basi Urusi anachakaa mapema sana , na wazungu wana mahesabu watajitahidi kuchochea ugomv kati ya India na China aua China na Taiwan mmoja akijaa tu akawa bize na vita bas Urusi kaisha yaan atapigwa kama ngoma , Yeye mwenyew alikiri kuwa wazungu wanajiandaa kumvamia
India hashiriki vita kwa kuungana na mataifa mengine yeye huwa anajiweka pembeni ingawa ana washiriki wengi tu kama UAE, Russia, Israel na wengine kama Bangladesh na France

Ila kwa upande wa Uhusiano kati ya Mrusi na China walipoulizwa uhusiano wenu ni kwa ajili ya allies wakasema sisi ni zaidi ya hilo

Kwa hiyo usitegemee watakuja gombana hao China na India maana wana urafiki miaka mingi na wanaheshimiana

Labda India na Pakistan ambao wao huwa wana chokochoko kiasi pale Kashmir ila sio vita ya kubwa ya nchi mbili
Hata Modi alipoingia madarakani aliapa kuichapa Pakistan na huku PM Imran akisema thubutu
Yaliisha kwa maneno tu ya Kanga

Mkuu Dunia hii vita ni Africa tu
 
India hashiriki vita kwa kuungana na mataifa mengine yeye huwa anajiweka pembeni ingawa ana washiriki wengi tu kama UAE, Russia, Israel na wengine kama Bangladesh na France

Ila kwa upande wa Uhusiano kati ya Mrusi na China walipoulizwa uhusiano wenu ni kwa ajili ya allies wakasema sisi ni zaidi ya hilo

Kwa hiyo usitegemee watakuja gombana hao China na India maana wana urafiki miaka mingi na wanaheshimiana

Labda India na Pakistan ambao wao huwa wana chokochoko kiasi pale Kashmir ila sio vita ya kubwa ya nchi mbili
Hata Modi alipoingia madarakani aliapa kuichapa Pakistan na huku PM Imran akisema thubutu
Yaliisha kwa maneno tu ya Kanga

Mkuu Dunia hii vita ni Africa tu
The Sino-Indian War between China and India occurred in October–November 1962. A disputed Himalayan border was the main cause of the war. There had been a series of violent border skirmishes between the two countries after the 1959 Tibetan uprising, when India granted asylum to the Dalai Lama. India initiated a defensive Forward Policy from 1960 to hinder Chinese military patrols and logistics, in which it placed outposts along the border, including several north of the McMahon Line, the eastern portion of the Line of Actual Control proclaimed by Chinese Premier Zhou Enlai in 1959.[15]
 
Back
Top Bottom