Nchi Sasa Imefilisika.

Mkuu unafahamu kwamba LIBOR imepanda?
 
Mpaka iishe hii miaka ikiyobaki, hakuna ranging wala miguno itakayobaki kuonekana na kusikika!
Watu jamii ya Lizaboni ni kati ya wale wanofikiri kwa kutumia ogani tofauti na inayotumiwa na wengine.
Hivi anatumia vigezo au indicators zipi kuupima uchumi wa nchi? Husafirishi bidhaa na wala huagizi au kupitisha ya wengine, masoko ya ndani yamedorora na baa la njaa lipo sebuleni. Bado unahitaji vigezo vingine?
 

Yaani kukopesheka zaidi sio kujitegemea?.

Bado nakumbuka hotuba iliyosema Tanzania ni Tajiri na inaweza kukopesha hata nchi za ulaya.
 
Mbona tuliambiwa nchi ni tajiri,,ina kila kitu tena tunaweza kutoa misaada kwa nchi zingine ..mara hii mmeanza kukopa tena...leo ndio nimeamini siasa mchezo mchafu
 
3. Hazina hakuna mishahara ya miezi 2,hela inasanywa ndi0 ilipwe.
 
Acha uchochezi wewe,"Serikali yangu ni tajiri ina pesa nyingi"magufuli voice.
 
Halafu mbaya kuliko baada ya kuwadhulumu bila aibu mtu anafunga safari kwenda kuwakejeli watu aliowadhulumu huku wakiwa katika hali mbaya. Dhambi sana! Malipo ni hapa hapa duniani mbinguni ni mahesabu tu!
Haha nmeipenda hiyo "malipo ni hapa hapa duniani, mbinguni mahesabu tu.
 

Unajua hii serikali ilipoingia madarakani tu ilikopa fasta usd bil 7.6 zaidi ya fedha za kitanzania trillioni 16 Kwa wachina kwa ajili ya ujenzi wa reli hapa majuzi tena tumekopa mabilioni tena hapo ADB. Labda hizo data za WB zinahusu pesa tulizokopa huko WB pekee yake.
 
Yaani kukopesheka zaidi sio kujitegemea?.

Bado nakumbuka hotuba iliyosema Tanzania ni Tajiri na inaweza kukopesha hata nchi za ulaya.
Binafsi sisapoti kukopa. Napenda tutumie utajiri wetu kujiletea maendeleo. Nilichokisema ni kwamba nchi inakopesheka
 
Yaani kukopesheka zaidi sio kujitegemea?.

Bado nakumbuka hotuba iliyosema Tanzania ni Tajiri na inaweza kukopesha hata nchi za ulaya.
Mi siifikirii hotuba zaidi namfikiria aliyesema hayo maneno, is he mentally fit?
 
Binafsi sisapoti kukopa. Napenda tutumie utajiri wetu kujiletea maendeleo. Nilichokisema ni kwamba nchi inakopesheka
Utajiri gani mkuu?kama serikali inalipa mishahara kwa wafanyakazi wa serikali tu kwa almost bilioni 550 kwa mwezi na sisi tunakusanya almost bil 1000 kwa mwezi(na hii figure ya bil 1000 watu bado wanabisha kwamba siyo kweli ni pungufu ya hapo) Unadhani miujiza gani itatokea hapo ku survive kwa hiyo bil 450 inayobaki mkuu?
 
1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.

Acha kulaghai watu serikali inamtafuta mwekezaji atakayejenga kwa hela zake then utumike utaratibu wa Build-Operate-Transfer (BOT). Mlijinasibu kujenga kwa hela zawananchi leo hii mmeshindwa, mmepiga U-turn. Oneni aibu basi hata mnapotaka kupindisha ukweli ulio wazi.
 
You need to be impartial yani usiwe unaegemea upande wowote...!Barbara ya Chalinze unafahamu pesa imetoka wapi...?je stahiki za watumishi ziko wapi yani malimbikizo ya mishahara na allowance zao....?je unafahamu hali ya uchumi wa nchi kwa sasa ukilinganisha na mwaka Jana........?je baa la njaa inayolinyemelea taifa kwa sasa serikali ikisema haina mpango kugawa chakula cha msaada....?au lands utakuwa umeamka usingizini.....?to be impartial is very dangerous utajikuta unaumiza hata ndugu zako pasipo wewe kujua.
 
1-Nchi imeshindwa kuajiri watumishi wa kada mbalimbali tofauti na utaratibu uliokuwapo sababu cjui..!
2-Nchi imeshindwa kupandisha mishahara ya watumishi kinyume utaratibu wa mikataba ya ajira lakn zaidi hata madaraja yaani vyeo pia imeshindikana sababu nchi haijafilisika.
3-Deni LA taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya mwaka mmoja hadi nchi kushindwa kukopesheka na hivyo kuwekewa masharti magumu (Waziri wa fedha) sababu nchi tajiri na tuliahidi hatutakopa coz nchi in tajiri na tulitaja nchi nyingine zije zikope kwetu
 

duh.! kama ndio tunajadili na watu wenye daraja la kufikiria kama wewe, nahisi kuna shida mahali.

kwa hiyo wewe, mpaka unapata upeo wa kuchukua simu au kompyuta na kuandika, AKILI YAKO HAIJUI KAMA TAJIRI ANAWEZA KUKOPA.? dah.! Mwenyezi Tujaalie Uwezo Wetu wa kufikiri uongezeke. si ajabu tunahangaika kulalamika kumbe hata tunachokilalamikia hatukijui.
 
Bure wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…