Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,683
- 272,541
Nitajaribu kupigania kwa hoja uondolewe jf kufikia saa 12 jioni .Ningekuwa Max, watu kama wewe nawakabidhi kwa jeshi la polisi bila hata ya kujiuliza.
Mkuu.. Huyo ni janga.kuna watu huwa hawana aibu!
Hivi nini kimepelekea michango iliyochangwa kwaajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi kule Kagera kugeuzwa kuwa mali ya serikali wakati watu waliwachangia wananchi walioathirika na siyo serikali. Serikali ilihimiza watu kuchangia waathirika na siyo yenyewe. What has happened? Huku sio kujichumia laana ya kujitakia?1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.
2. Serikali imeagiza ndege nne zaidi ambapo malipo ya awali ya ununuzi yameshalipwa. Serikali imefilisika
3. Watumishi wa umma wanalipwa mishahara kwa wakati. Serikali imefilisika
Mangapi serikali imeshindwa kutimiza mpaka sasa ..ajira?..mikopo kwa wanafunzi wengi wamenyimwa na ni masikini wa kutupwa! Kupanda madaraja kwa watumishi na mengineyo1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.
2. Serikali imeagiza ndege nne zaidi ambapo malipo ya awali ya ununuzi yameshalipwa. Serikali imefilisika
3. Watumishi wa umma wanalipwa mishahara kwa wakati. Serikali imefilisika
Mkuu unasahau chura anaishi kwenye maji lakini ni mchafu.with all natural resources that we have.
Mkuu hujakosea..Hivi nini kimepelekea michango iliyochangwa kwaajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi kule Kagera kugeuzwa kuwa mali ya serikali wakati watu waliwachangia wananchi walioathirika na siyo serikali. Serikali ilihimiza watu kuchangia waathirika na siyo yenyewe. What has happened? Huku sio kujichumia laana ya kujitakia?
MmmmmhhTatizo mtoa 'hotuba' anapenda sifa nyepesinyepesi...na tatizo kuu zaidi ni hashauriki.
Binafsi pamoja na ugumu huu wa maisha natamani uongezeke maradufu ili utawala wake uanguke kwa aibu.
Barabara inabinafsishwa serekali imeishiwa pumzi acha kujitekenye huku ukinyonga kama salome
Ingia kwenye mtandao wa IMF labda unaweza kupata kitu. Sasa hivi nasikia Tanzania tumeingia kwenye window ya ADF baada ya ku graduate kutoka ADB. Pia kwa upande wa WB tumepanda kutoka IDA na kwenda IBRD. Maana yake ni kwamba tunaweza kukopesheka zaidi.Linahimilika kipindi lipo chini ya trillion 30.
Halafu mbaya kuliko baada ya kuwadhulumu bila aibu mtu anafunga safari kwenda kuwakejeli watu aliowadhulumu huku wakiwa katika hali mbaya. Dhambi sana! Malipo ni hapa hapa duniani mbinguni ni mahesabu tu!Mkuu hujakosea..
Huko ni kuchuma laana na ni one symptom ya serikali hii Kufilisika.
Serikali hailipi na haina uwezo wa kulipa maddeni ya ndani, tuliofanya kazi za serikali kwa hela yetu tunaomboleza1. Barabara ya Dar Chalinze zabuni imetangazwa ili ujenzi uanze. Serikali imefilisika.
2. Serikali imeagiza ndege nne zaidi ambapo malipo ya awali ya ununuzi yameshalipwa. Serikali imefilisika
3. Watumishi wa umma wanalipwa mishahara kwa wakati. Serikali imefilisika
Akijibu hili namwaga hii Heineken yangu hapa mezani , nimepiga funda moja tu .Hivi nini kimepelekea michango iliyochangwa kwaajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi kule Kagera kugeuzwa kuwa mali ya serikali wakati watu waliwachangia wananchi walioathirika na siyo serikali. Serikali ilihimiza watu kuchangia waathirika na siyo yenyewe. What has happened? Huku sio kujichumia laana ya kujitakia?
Mkuu Nchi inapoomba mkopo, kitu kimoja kinachoangaliwa na Banks/Financial Institutions ni Current Economic Status ya nchi husika.Mkuu nasikia masharti aliyoyasema Waziri ni pamoja na interest rate kuwa juu tifauti na walivyotegemea na pia kuna masharti hata ya ushoga kwa misaada toka nchi fulani fulani. Nilisikia kwamba wanataka kukopa Swiss Bank ambayo interest yake kidogo ipo chini. Pia nilisoma taarifa ya waziri akisema kwamba deni la Tanzania bado linahimilika hivyo tatizo siyo deni bali masharti ambayo si kwa Tanzania tu bali ni suala la uchumi wa dunia.
Halafu jamaa alijiotea ndoto yake masikini kosa tu aliisimulia.Kuweka kumbukumbu vizuri, haya yote yametokea Lema akiwa ndani hivyo asije tokea mtu kumsingizia kuwa ndiye kasababisha!
Kvp uwakabidhi kwa police? Hii Tanzania ndo nchi inayoongoza kuwa na wanafiki wengi duniani huyu jamaa ni mnafikiNingekuwa Max, watu kama wewe nawakabidhi kwa jeshi la polisi bila hata ya kujiuliza.