Nchi ipo salama

Nchi ipo salama

Nicodemas Tambo Mwikozi

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2016
Posts
663
Reaction score
1,047
1473083203844.jpg
 
mbona unatulisha vumbi la upepo, ni nini hicho??,hebu fafanua basi!!!
 
SALAMA KWA HIVYO VI FIGHTER JET VYA KICHINA NA KIRUSI TENA VYA KIZAMAN SANA,szan hata kama waliotengeneza wanaztambua,ndo useme nchi ipo salama? wenye mi F16,F22 RAPTOR,F35,SU35,MIG22 etc nao wasemeje na bado huko waendako kupeleka amani na madege hayo wanachemka,huu ujinga ujinga huu ndo unaliangamiza taifa.
 
sisi ndio wa-Tanzania, hapa tulipo ni Tanzania, unatueleza ya-Tanzania!!........
 
wakati mwingine nahisi kama nchi yetu huwa tunaipeleka kimajaribi zaidi badala ya kuleta mafanikio ya nchi.
 
Kuna watu hawastahili kuwa amiri jeshi mkuu, maana akionyeshwa masilaha kama haya kuwa yapo chini ya komandi yake anaweza pagawa kuwa, heh kumbe nina nguvu hivi!? Sasa ole wenu na vi fence vyenu.
 
SALAMA KWA HIVYO VI FIGHTER JET VYA KICHINA NA KIRUSI TENA VYA KIZAMAN SANA,szan hata kama waliotengeneza wanaztambua,ndo useme nchi ipo salama? wenye mi F16,F22 RAPTOR,F35,SU35,MIG22 etc nao wasemeje na bado huko waendako kupeleka amani na madege hayo wanachemka,huu ujinga ujinga huu ndo unaliangamiza taifa.

Watu mnadharau na kuponda each and everything...kwani unajua hiyo ni ndege ya aina gani hiyo??? na unajuaje kuwa ni ya kizamani???!!! Watanzania wanashangaza mno, sijui tumeumbwaje...yaani dharau, dharau, kuponda, kuponda mpaka inakera....ni tabia ya ajabu...kuponda, kudharau, kulalamika, majungu, fitina, uzushi, uvivu ndio tabia za Watanzania tulio wengi...
 
Back
Top Bottom