Kwenye hio list mtoe mbowe ili bandiko lako liwe na factKama kila Kiongozi anayetaka kutumia akili zake anafukuzwa au kutolewa kwenye mfumo kimya kimiya tusipoamka sasaivi basi Tumekwisha.
Ata Samia angesimamia 4R kwa ukweli Wangemuondoa. Naamini kuna genge Kusini mwa Africa limefanikiwa kuteka kabisa hizi nchi.
Haya Matajiri yasiyoishi kwenye sebure za ikulu zetu kilasiku.
1. Alianza Mpango akatolewa akaambiwa kaa kimya.
2. Majaliwa kasimu akaambiwa asigombee akae kimya.
3. Simbachawene, Tulia aksoni, Ndugai, Mbowe, wote wamenyamazishwa.
4. Polepole,
Kama wote wenye akili wametulizwa tuli. Rungu wakaachiwa akina. Mwigulu na Makonda nao wanaaminishwa makubwa lkn wakiwamaliza wenzao ndio basi tena na wao wanapitishwa njia ile ile.
Tulia aliifanyia nini CCM na sasa yuko wapi?
Ni wakati wa wanaCCM kuamka usingizini NCHI NI KAMA INATEKWA KIMYA KIMYA HII.
Najua tu wewe Wasira na Heche haziivi chungu kimoja😂Wewe ni Heche OG au fake. Ila andiko lako lina ukweli. Nini cha kufanya sasa?
Hakuruhusiwa kuchukua fomuTulia animaliza muda wake na alipoomba tena akakosa kwa kuzidiwa sifa
Ndio mtego ambao watawala katili wanautaka ili wajipe uhalali wa kupambana na uasi kuendesha nchi ata miaka 100hapa inatakiwa kuanzisha kundi la waasi. nchi iwe kama congo tu
Ccm mkumbo hawaelewi yapo tu kama mazumbukuku yanavutwa tu na yanashangilia hayajui hata kesho ya watoto wao itakuwajeKama kila Kiongozi anayetaka kutumia akili zake anafukuzwa au kutolewa kwenye mfumo kimya kimiya tusipoamka sasaivi basi Tumekwisha.
Ata Samia angesimamia 4R kwa ukweli Wangemuondoa. Naamini kuna genge Kusini mwa Africa limefanikiwa kuteka kabisa hizi nchi.
Haya Matajiri yasiyoishi kwenye sebure za ikulu zetu kilasiku.
1. Alianza Mpango akatolewa akaambiwa kaa kimya.
2. Majaliwa kasimu akaambiwa asigombee akae kimya.
3. Simbachawene, Tulia aksoni, Ndugai, Mbowe, wote wamenyamazishwa.
4. Polepole,
Kama wote wenye akili wametulizwa tuli. Rungu wakaachiwa akina. Mwigulu na Makonda nao wanaaminishwa makubwa lkn wakiwamaliza wenzao ndio basi tena na wao wanapitishwa njia ile ile.
Tulia aliifanyia nini CCM na sasa yuko wapi?
Ni wakati wa wanaCCM kuamka usingizini NCHI NI KAMA INATEKWA KIMYA KIMYA HII.
Ccm wapo kichama zaidi suo kitaifa zaidi na wapo na sera ile ile ya nyerere zidumu fikra za mwenyekitiTulubali tu tuna kiongozi wa hovyo toka kuundwa kwa taiga la Tanganiyika na Tanzania. Tuna worst regime ever, akili kubwa haziwezi kufanya kazi na mediocre!
HUYU NI HECHE , MZEE WA KIMIYA KIMIYA 🤣🤣🤣🤣Wewe ni Heche OG au fake. Ila andiko lako lina ukweli. Nini cha kufanya sasa?