MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Sasa ni wazi kuwa Sakata la Bandari limetugawanya MAPANDE MAWILI. Wapo wanaopinga mkataba tata na Wapo Wanaounga Mkono.
Sababu kubwa za kupinga ni pamoja na usiri, utata na Namna Mchakato mzima wa Ulivyofanyika wa Kumpata DP WORLD na Kesi za DP WORLD na Nchi mbalimbali katika Masuala ya Bandari.
Watanganyika Wanauliza
Kwanini Mkataba hauna Ukomo? Nani alimtafuta mwenzake ni DP WORLD au ni Serikali? Kama ni Serikali mbona tenda haikutangazwa kama Sheria inavyotaka? Kama ni DP WORLD kwanini alileta hili wazo ana uchungu gani na bandari yetu?
Kwanini Wafanyabiashara Wakubwa kina Rostam Aziz wanashabikia sana Bandari kuwekezwa wana maslahi gani? Kwanini wabunge, Waandishi wa Habari walipelekwa Dubai kwa suala hili mbona kwa Wawekezaji wengine hatusikii kwenda?
Kwanini wadau wa masuala ya bandari hawakupewa muda wa kutosha kutoa maoni na Mapendekezo yao?
Maswali ni mengi, yote hayo yanaleta utata wa mkataba huu. Kwanini wabunge wanatumia nguvu kubwa kuwatisha Watu wanaokosoa huu Mkataba?
Tunaambiwa DP WORLD ataongeza Mapato Wakati mapato ya bandari yanaibiwa na Watendaji wetu na Hakuna hatua zinazochukuliwa (Report ya CAG na PAC ya BUNGE).
Watanganyika tunataka bandari yetu huu ni Mkataba umeshamiri Usiri unaifichwa na Wahusika huwezi kuwa na Mkataba unaompa maslahi makubwa mpangaji kuliko mwenye Nyumba huwezi kuwa na mkataba usioeleza ukomo wake.
Sababu kubwa za kupinga ni pamoja na usiri, utata na Namna Mchakato mzima wa Ulivyofanyika wa Kumpata DP WORLD na Kesi za DP WORLD na Nchi mbalimbali katika Masuala ya Bandari.
Watanganyika Wanauliza
Kwanini Mkataba hauna Ukomo? Nani alimtafuta mwenzake ni DP WORLD au ni Serikali? Kama ni Serikali mbona tenda haikutangazwa kama Sheria inavyotaka? Kama ni DP WORLD kwanini alileta hili wazo ana uchungu gani na bandari yetu?
Kwanini Wafanyabiashara Wakubwa kina Rostam Aziz wanashabikia sana Bandari kuwekezwa wana maslahi gani? Kwanini wabunge, Waandishi wa Habari walipelekwa Dubai kwa suala hili mbona kwa Wawekezaji wengine hatusikii kwenda?
Kwanini wadau wa masuala ya bandari hawakupewa muda wa kutosha kutoa maoni na Mapendekezo yao?
Maswali ni mengi, yote hayo yanaleta utata wa mkataba huu. Kwanini wabunge wanatumia nguvu kubwa kuwatisha Watu wanaokosoa huu Mkataba?
Tunaambiwa DP WORLD ataongeza Mapato Wakati mapato ya bandari yanaibiwa na Watendaji wetu na Hakuna hatua zinazochukuliwa (Report ya CAG na PAC ya BUNGE).
Watanganyika tunataka bandari yetu huu ni Mkataba umeshamiri Usiri unaifichwa na Wahusika huwezi kuwa na Mkataba unaompa maslahi makubwa mpangaji kuliko mwenye Nyumba huwezi kuwa na mkataba usioeleza ukomo wake.