Nchi gani au kiongozi gani unaemkubali sana iwe or awe mfano wa kuigwa kwa nchi yetu

Basham

JF-Expert Member
Oct 10, 2014
743
429
Wasalam Wakuu,

Nchi yetu bado haijawa sana stable kwa upande wa democrary na kiuchumi pia. Lakini tusibeze mafanikio na juhudi wanazozifanya Viongozi wetu.

But kuna nchi ambayo unatamani iwe ni ya mfano kwa nchi yetu kujifunza, or Kiongozi wa kuigwa mfano na wakuu wetu wa nchi. Kujifunza ni kwa njia nyingi na huo mfano unaweza kua ni mfano wa kuigwa kwetu na ukatusaidia kusonga mbele kimaendeleo

Unaweza kua na mawazo mazuri sana lakini ukashindwa namna ya kuyafanyia kazi or mwenzako anaweza kuiba wazo lako na kulifanyia kazi kwa namna iliyo bora zaidi

Mie binfasi namkubali sana Nelson Mandela
 
South Korea, kanchi kadogo sana, kalikuwa maskini sana wakati wanazinguliwa na wajep ila soon after 1945 mambo yalianza badilika fasta fasta
Kwa ss wanashindana na mjep mwenyewe
 
South Korea, kanchi kadogo sana, kalikuwa maskini sana wakati wanazinguliwa na wajep ila soon after 1945 mambo yalianza badilika fasta fasta
Kwa ss wanashindana na mjep mwenyewe
Kabsa Mkuu hawa jamaa saivi hawashikiki na kiburi juu. Walifanya nn au njia gani walizitumia we need to gain something kutoka kwao
 
steven wassira, his style sense is impeccable.
Wasalam Wakuu,

Nchi yetu bado haijawa sana stable kwa upande wa democrary na kiuchumi pia. Lakini tusibeze mafanikio na juhudi wanazozifanya Viongozi wetu.

But kuna nchi ambayo unatamani iwe ni ya mfano kwa nchi yetu kujifunza, or Kiongozi wa kuigwa mfano na wakuu wetu wa nchi. Kujifunza ni kwa njia nyingi na huo mfano unaweza kua ni mfano wa kuigwa kwetu na ukatusaidia kusonga mbele kimaendeleo

Unaweza kua na mawazo mazuri sana lakini ukashindwa namna ya kuyafanyia kazi or mwenzako anaweza kuiba wazo lako na kulifanyia kazi kwa namna iliyo bora zaidi

Mie binfasi namkubali sana Nelson Mandela
 
Yahya Jammah wa Niger Taifa Maskini zaid Duniani lakin anapendwa sana na Raia kwa kudanganywa kuwa Rais anatibu Ukimwi! Raia wake wanafanana na wa tz
Si wa Niger mkuu, ni wa Gambia. Mpe heshima yake - His Exellency Sheikh Professor Al Haj Dr. Yahya Junkung Jammeh. Ndivyo anavyotaka ajulikane. Hata hivyo mimi namfagilia yule wa Botswana. Ni nani vile?
 
Back
Top Bottom