Ni kweli mkuu kama huamini tafuta data acha uvivuNaona hizo data zimepikwa na Shilawadu.
Fungua hapaNaona hizo data zimepikwa na Shilawadu.
Mwambie na tanzania ni ya 155Ni kweli mkuu kama huamini tafuta data acha uvivu
duh! sasa si tuiuze tugawane hela kila mtu aende anapotakaKati ya nchi 180 bora hata haipo
Ya 155tanzania ni yangapi maana tunaskiaga tu tajiri tajiri
Hivi huko Brunei ndiko Profesa Jay alipaimba kwenye wimbo wa Bongo Dar es Salaam??Hizo ndizo nchi tano tajiri zaidi duniani .
1.Qatar
2.Luxembourg
3.Singapore
4.Kuwait
5.Brunei
Marekani Ni ya 13 hivyo basi ijapo Ni taifa kubwa imepitwa hata na nchi tajwa hapo juu.
View attachment 476432