Nchi 10 bora za Kiafrika za kuwekeza 2022

Dunia yakoo

Senior Member
Nov 23, 2019
139
214
1. Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ
2. Misri ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
3. Afrika Kusini ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
4. Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
5. Moroko ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
6. Kenya ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช
7. Ethiopia ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น
8. Ghana ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ
9. Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด
10. Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ

Chanzo: Business Insider
20220613_095334.jpg
 
Business insider mi nawachekigi tu, hawa jamaa wana taarifa za kihuni huni tu, sasa hapo Ivory Coast na Nigeria hata usalama hamna inakuwaje na potential ya uwekezaji, na kuna documentary flani nilicheki jamaa wanadai, 30% ya pesa makampuni ya kuchimba mafuta huingiza, huishia kwenye ulinzi hapo niger delta.
 
Huu ni uwongo huwezi sana Nigeria ndo sehemu nzuri zaidi kuwekeza Afrika wakati kuna vita Boko Haram, Kidnapings kila mahali!

Hii ni uwongo...usiamini kila kitu unachotumiwa!
amani sio kigezo cha sehem kuwa nzur kuwekeza , wanazungumzia mzunguko wa pesa , Kenya pekee ipo far ahead dhidi yetu
 
Business insider mi nawachekigi tu, hawa jamaa wana taarifa za kihuni huni tu, sasa hapo Ivory Coast na Nigeria hata usalama hamna inakuwaje na potential ya uwekezaji, na kuna documentary flani nilicheki jamaa wanadai, 30% ya pesa makampuni ya kuchimba mafuta huingiza, huishia kwenye ulinzi hapo niger delta.
Nilivyoona Nigeria ipo nikaacha kusoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom