AcinonyxJubatus
Senior Member
- Nov 3, 2010
- 125
- 20
Niliahidi ikifika Jumatatu ya tarehe 2 April nitakukumbusha mataputapu uliyokua unatoa ukijitahidi kuaminisha uma kua sisiemu itashinda Arumeru Mashariki. Dogo nilikuambia hii sio Igunga, hapa watu sio masikini wakupembua ukweli.
Lusinde wako uliyefikiri anakusaidia yuko wapi.
Wana Arumeru wamekujibu kuwa Sera sio matusi, wameyakataa, Sera sio kugawa Bendera vitambaa na kofia, hayo pia sio mahitaji yao, Sere sio kuwarubuni na elfu tanotano wakati wanajua baada ya huu uchaguzi ukweli ni kwamba hamtawakumbuka. hiyo pia wamekukatalia.
Oooh Eti Arusha mjini hakuna maendeleo kisa mmemchagua Lema - Hiyo pia wameikataa.
Pole sana na mitazamo yako isiyo sahihi.
Ila nakukumbusha Tena, Tanzania ya leo imebadilika, watu hawadanganyiki. Ugua pole dogo.
Lusinde wako uliyefikiri anakusaidia yuko wapi.
Wana Arumeru wamekujibu kuwa Sera sio matusi, wameyakataa, Sera sio kugawa Bendera vitambaa na kofia, hayo pia sio mahitaji yao, Sere sio kuwarubuni na elfu tanotano wakati wanajua baada ya huu uchaguzi ukweli ni kwamba hamtawakumbuka. hiyo pia wamekukatalia.
Oooh Eti Arusha mjini hakuna maendeleo kisa mmemchagua Lema - Hiyo pia wameikataa.
Pole sana na mitazamo yako isiyo sahihi.
Ila nakukumbusha Tena, Tanzania ya leo imebadilika, watu hawadanganyiki. Ugua pole dogo.