Wadau,
CUF leo wamemtangaza mgombea ubunge wao wa jimbo la Igunga, cha kushangaza leo leo NCCR nao wanajitokeza na kusema wao wataunga mkono mgombea wa upinzani atakayesimamishwa, Najiuliza hapa hakuna mchezo mchafu wanaoupanga dhidi ya chama cha kweli cha ukombozi wa Tanzania (cdm) ili badae wakisimamisha ionekane anavuruga upinzani? Wadau nyie mwalionaje hili?
CUF leo wamemtangaza mgombea ubunge wao wa jimbo la Igunga, cha kushangaza leo leo NCCR nao wanajitokeza na kusema wao wataunga mkono mgombea wa upinzani atakayesimamishwa, Najiuliza hapa hakuna mchezo mchafu wanaoupanga dhidi ya chama cha kweli cha ukombozi wa Tanzania (cdm) ili badae wakisimamisha ionekane anavuruga upinzani? Wadau nyie mwalionaje hili?