Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Wana jf kwa habari nilizo zipata toka kwa wadau ni kuwa NBC wamepata MD mpya anaitwa Mizinga Melu toka Zambia.
Huyu mama anatoka Standard Chartered Bank Zambia ambako alikuwa Managing Director tangu 2007.Ana uzoefu mkubwa ikiwa pamoja na kuwa Global Head of Development Organisations in the United Kingdom na pia alikuwa Africa Regional Head of Financial Institutions in Kenya na South Africa ambako alihusika kuandaa mikakati ya biashara ya Standard Chartered kwa Africa.
Pia alikuwa Head of Treasury wa Standard Chartered Bank Tanzania kati ya mwaka 2000 na 2003.
Elimu yake;
Mizinga ana Masters in Business Administration (MBA) toka Henley Management College (UK) na ni Associate of the Chartered Institute of Bankers (A.C.I.B).
My take, wabongo tunaelekea kuchemsha kuongoza taasisi za fedha. labda huyu ataiboresha hii benki
Huyu mama anatoka Standard Chartered Bank Zambia ambako alikuwa Managing Director tangu 2007.Ana uzoefu mkubwa ikiwa pamoja na kuwa Global Head of Development Organisations in the United Kingdom na pia alikuwa Africa Regional Head of Financial Institutions in Kenya na South Africa ambako alihusika kuandaa mikakati ya biashara ya Standard Chartered kwa Africa.
Pia alikuwa Head of Treasury wa Standard Chartered Bank Tanzania kati ya mwaka 2000 na 2003.
Elimu yake;
Mizinga ana Masters in Business Administration (MBA) toka Henley Management College (UK) na ni Associate of the Chartered Institute of Bankers (A.C.I.B).
My take, wabongo tunaelekea kuchemsha kuongoza taasisi za fedha. labda huyu ataiboresha hii benki