RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Naomba nitoe vioja na upumbavu wa technology unaofanywa na bank ya NBC. Yani ukitaka kuchukua hela counter(ndani namaanisha) lazma uende kwenye tawi lako, km huwezi unasubiri watume fax then wajibiwe ndo km vipi wakupe mshiko, sasa najiuliza:
1. Nini maana ya kunetwork system?
2. Fax kama tuijuavyo ni taarifa gan wanaitaka, au kuipata toka branch yako? Na hii fax unaweza kusimama hadi 8hrs!!
3. Je, ni uvivu au bureaucracy tu ya Management?
4. Wataalamu naomba msaada hii inasaidia nini? Kama ni wizi sasa taarifa gani inatumwa kwa fax? Picha zipo ktk network, information yote ipo!
5. Imagine unatoka mkoani unakuja draw hela ya kuchukua biashara then siku nzima unasimama kusubiri fax ijibiwe from Mwanza!??!!
Is this not stupidity at its best? Kama kuna mtu wa NBC ktk JF atusaidie hili, linakera sana!! Basi mtu uweze toa ABOVE 1m FROM ATM km ushenzi wenyewe ndo huo.
Shame on you NBC!! hamna lolote, na ntawahama, na wengine watafuata!!
1. Nini maana ya kunetwork system?
2. Fax kama tuijuavyo ni taarifa gan wanaitaka, au kuipata toka branch yako? Na hii fax unaweza kusimama hadi 8hrs!!
3. Je, ni uvivu au bureaucracy tu ya Management?
4. Wataalamu naomba msaada hii inasaidia nini? Kama ni wizi sasa taarifa gani inatumwa kwa fax? Picha zipo ktk network, information yote ipo!
5. Imagine unatoka mkoani unakuja draw hela ya kuchukua biashara then siku nzima unasimama kusubiri fax ijibiwe from Mwanza!??!!
Is this not stupidity at its best? Kama kuna mtu wa NBC ktk JF atusaidie hili, linakera sana!! Basi mtu uweze toa ABOVE 1m FROM ATM km ushenzi wenyewe ndo huo.
Shame on you NBC!! hamna lolote, na ntawahama, na wengine watafuata!!