Watuwekee marks zetu pia iwepo nafasi ya kuzihakiki pale umuhimu utakapo kuwepo! Wakati test zinafunguliwa wanatuonyesha ila kinachockitisha baada ya kufanywa kinachoendelea ni GIZA NENE kwa watahiniwa!! UWAZI UPO WAPI??? JE HUKO NAKO WANAPO MARK HIZO TEST WANAPELEKWA MASHAHIDI KUANGALIA KAMA KINACHOENDELEA NI SAWA KAMA WATUONYESHAVYO KABLA YA KUFANYA TEST??? Serikali BUNGE) tunaomba iangalie hili swala kwa umakini!!