Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Kuna timu kadhaa ambazo zinakuja kwa kasi - Orlando Magic, Detroit Pistons, Utah Jazz, Boston Celtics, na Charlotte Hornets....na kwa mbali Milwaukee Bucks.....
Hizo timu zitakuja kusumbua ligi ya NBA miaka michache ijayo.
Bila kuwasahau Minnesota Timberwolves.