Varius
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 644
- 503
KweseAisee mm naomba kujua channel nazoweza kufuatilia hizi game, nitafute king'amuzi gani... Thanks
KweseAisee mm naomba kujua channel nazoweza kufuatilia hizi game, nitafute king'amuzi gani... Thanks
Thanks...Kwese
Kwese tunaona kupitia king'amuzi ganiKwese
Niambie sasa mkuu, umeona mziki wa Boston Celtics
Aisee mm naomba kujua channel nazoweza kufuatilia hizi game, nitafute king'amuzi gani... Thanks
Niambie sasa mkuu, umeona mziki wa Boston Celtics
Dstv
Lakers vipi naona game ya mwisho wamempiga golden state
Indiana, Toronto, na Detroit wape ushindi leo
Hawana hapo, game ziko Kwese kama mmoja alivyosema.
Pre season nilikuwa nacheki kupitia Kwese
So sad...Ndo hivyo, DSTV hawana tena mkataba na NBA.
Game ijayo wako na CHI Bulls wape ushindiWako vizuri, nadhani Kyrie na Hayward wakianza kuclick jamaa watatisha.
Ila bado Sixers nawaamini.
yah yah ila mi naielewa sana grinding basketball ya Pacers na Boston CelticsToronto nawaelewa kupita maelezo
Usimpe ushindi Lakers please usiwachukulie poa Blazers, game za preseason hua hawako serious. Back court ya Blazers is one of the best and efficient in the league plus the chemistry of Nurkic and Staukas Portland can break Lebron no matter what. Pia Lakers bado hawajapata team chemistry ambayo ndio kiungo muhimu katika ushindi kwenye Basketball.Wamewapiga mara mbili ila ilikuwa pre season. Leo wako na Blazers unaweza wapa ushindi, ila kule Blazers kuna jamaa mmoja anaitwa Lillard ni noma.
Mbona hata Phoenix waliwapiga Golden State. Unasemaje kuhusu hilo.Wamewapiga mara mbili ila ilikuwa pre season. Leo wako na Blazers unaweza wapa ushindi, ila kule Blazers kuna jamaa mmoja anaitwa Lillard ni noma.
Mbona hata Phoenix waliwapiga Golden State. Unasemaje kuhusu hilo.
Ngoja mziki wao Playoffs.Hahahhahaa Phoenix pre season walikuwa wazuri mno. Ila mchezo alio cheza leo GSW mbovu mno napata mashaka kama msimu huu watafanya vizuri.
Dstv hawaonyeshiDstv