Keyboard_Warrior
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 6,101
- 10,464
Ahahaaaaah...Haya leo ndio leo, je George Betram upo?
Leo nimefurahi sana mkuu...
Ingawa sijaangalia game,ila vijana wamenifurahisha kwakweli...
Ila kwanini Steve Kerr huwa hapendi kuwatumia mastaa wake katika quarter zote..!?