BARD AI JF-Expert Member Joined Jul 24, 2018 Posts 3,591 Reaction score 8,853 Sep 1, 2023 #1 Katika ukurasa wake rasmi wa Instagram Nay wa Mitego anaandika: Nimepokea Barua Ya Wito Kutoka Kwa Walezi Wetu @basata.tanzania Kwa Ajili Ya Kikao So Nitafika Kwenye Kikao Siku Iliyo Pangwa. Naamini Kitakua Kikao Kwa Ajili Kuijenga Sanaa Yetu. Coz Naamini Kuijenga Na Kuikuza Sanaa Yetu Ni Moja Kati Ya Kazi Kuu Ya @basata.tanzania
Katika ukurasa wake rasmi wa Instagram Nay wa Mitego anaandika: Nimepokea Barua Ya Wito Kutoka Kwa Walezi Wetu @basata.tanzania Kwa Ajili Ya Kikao So Nitafika Kwenye Kikao Siku Iliyo Pangwa. Naamini Kitakua Kikao Kwa Ajili Kuijenga Sanaa Yetu. Coz Naamini Kuijenga Na Kuikuza Sanaa Yetu Ni Moja Kati Ya Kazi Kuu Ya @basata.tanzania
The Burning Spear JF-Expert Member Joined Dec 23, 2011 Posts 8,681 Reaction score 20,687 Sep 1, 2023 #2 BARD AI said: Nimepokea Barua Ya Wito Kutoka Kwa Walezi Wetu @basata.tanzania Kwa Ajili Ya Kikao So Nitafika Kwenye Kikao Siku Iliyo Pangwa. Naamini Kitakua Kikao Kwa Ajili Kuijenga Sanaa Yetu. Coz Naamini Kuijenga Na Kuikuza Sanaa Yetu Ni Moja Kati Ya Kazi Kuu Ya @basata.tanzania View attachment 2735747 Click to expand... Vipi kuna part2 wamestukia?
BARD AI said: Nimepokea Barua Ya Wito Kutoka Kwa Walezi Wetu @basata.tanzania Kwa Ajili Ya Kikao So Nitafika Kwenye Kikao Siku Iliyo Pangwa. Naamini Kitakua Kikao Kwa Ajili Kuijenga Sanaa Yetu. Coz Naamini Kuijenga Na Kuikuza Sanaa Yetu Ni Moja Kati Ya Kazi Kuu Ya @basata.tanzania View attachment 2735747 Click to expand... Vipi kuna part2 wamestukia?
Lukub JF-Expert Member Joined Feb 5, 2012 Posts 3,790 Reaction score 4,284 Sep 2, 2023 #4 Analia Nini mwana kulitafuta
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,579 Reaction score 105,441 Sep 2, 2023 #5 Lukub said: Analia Nini mwana kulitafuta Click to expand... Mbona minaona amejibu vyema tu...🤔