claudematemu
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 317
- 480
Ni pm nikufundisheJe, nawezaje kuwa female programmer? Naanza kusoma vitu gani Kwanza? Kuna vitu vya kusoma kabla ya coding? Je natakiwa nijue languages zote za computer au nikijua python na java zinatosha?
Zingatia: Sio kwenda chuoni au course centres Fulani, naongelea self-taught. Kujifunza mwenyewe maana napenda kuwa programmer lakini sijasomea mambo ya computer, nipo Nasoma vitu vingine lakini programming ndio hobby.
Anhaaa. Ulitumua means gani self tought au ulisomea Chuo au kama course.Mimi ni programmer kujifunza programming kuna hitaji nia na mda bai ukiwa na hvo basi utaweza.
Inategemea, mhimu unatakiwa kujua startup yako inahitaji watu gani then ndio unaanza kutengeneza team yako.[emoji120] Hivi inahitaji watu kuanzia wangapi kufanya startup?
Nilisoma chuo ila nilikua based sana na nertworking lakini badae taratibu nikaanza kuvutiwa na programming ndo nikaanza hapa ukiangalia kwenye profile langu utakutana na thread naelezea programmingAnhaaa. Ulitumua means gani self tought au ulisomea Chuo au kama course.
Anhaaa [emoji120]Inategemea, mhimu unatakiwa kujua startup yako inahitaji watu gani then ndio unaanza kutengeneza team yako.
Mfano Apple walifanya partnership wawili Steve job na Steve Wozniak walikuwa na best skills za electronics, walipouza hisa kwa venture capitalist wakawa watatu na kutengeneza kampuni.
Anhaaa [emoji4][emoji120]Nilisoma chuo ila nilikua based sana na nertworking lakini badae taratibu nikaanza kuvutiwa na programming ndo nikaanza hapa ukiangalia kwenye profile langu utakutana na thread naelezea programming
Pambana tu mkuu,Anhaaa [emoji120]
Sawaa [emoji4][emoji120]Pambana tu mkuu,
Kuna kampuni ziko bongo zinatengeneza software kwa ajili ya wahasibu na muanzilishi ni mhasibu, mahotel, nk.
Na kuna kijana ametengeneza software ya kusupply madawa kwenye maduka na nimfamsia.
Kila kitu kinawezekana
Hii ndio nilimaanisha nilivyomwambia commercial programming. Ukitaka kuwa guru utakufa njaa mana bongo soko la gurus hakuna. Makampuni makubwa yakitaka gurus yanaajiri toka nchi za india ama na kadhalika. Gurus wa kibongo wanabaki vijiweni. So piga commercial mpango mzima.Pambana tu mkuu,
Kuna kampuni ziko bongo zinatengeneza software kwa ajili ya wahasibu na muanzilishi ni mhasibu, mahotel, nk.
Na kuna kijana ametengeneza software ya kusupply madawa kwenye maduka na nimfamsia.
Kila kitu kinawezekana
Ndio hivyo mkuu.Hii ndio nilimaanisha nilivyomwambia commercial programming. Ukitaka kuwa guru utakufa njaa mana bongo soko la gurus hakuna. Makampuni makubwa yakitaka gurus yanaajiri toka nchi za india ama na kadhalika. Gurus wa kibongo wanabaki vijiweni. So piga commercial mpango mzima.
USSD Codes si ndio?Ndio hivyo mkuu.
Kuna dogo mwingine anatengeneza mfumo wa kuangalizia matokea kwa Messages kupitia hizo menu za mitandao ya simu anasubiri wizara tu.
Hiyo hiyoUSSD Codes si ndio?
Hapana , Ila ndo ukweli
95% ya Self-taught huwa wanaacha
Coz hauna wa kumuuliza error au gumu linapotokea
Ila - uzuri wa Self-taught - wengi hua na project kubwa na hujifunza kwa haraka
Ebu , nenda kwenye ChatGPt , iulize Diamond Platinum ni nani? Kama itakujibuSio kweli mkuu kazi ya chatGpt na stack overflow ni nini??
Nime analyse neno Diamond Platnum lipo mara ngapi kwenye online content as of now na ni asilimia ngapi ya maneno yote yaliyopo online.Ebu , nenda kwenye ChatGPt , iulize Diamond Platinum ni nani? Kama itakujibu
Kumuuliza swali mtu ni vizuri zaidi.
Stack Overflow ??? - We bado hujakutana errors , tafuta project pasua kichwa
Huyu anataka kuwa programmer wa kuajiriwa - na sio wa kutengeneza vitu vyake mwenyewe. Kwa hiyo angetafuta Bootcamp - atoe Million - ndani ya muda ya mfupi atakuwa fresh
Ila Self-taught wengi , huwa wanafanya vitu vyao wenyewe , Baada ya kazi zao kujulikana , ndipo orders zinakuja
Ni hii chatgpt iliyopassEbu , nenda kwenye ChatGPt , iulize Diamond Platinum ni nani? Kama itakujibu
Kumuuliza swali mtu ni vizuri zaidi.
Stack Overflow ??? - We bado hujakutana errors , tafuta project pasua kichwa
Huyu anataka kuwa programmer wa kuajiriwa - na sio wa kutengeneza vitu vyake mwenyewe. Kwa hiyo angetafuta Bootcamp - atoe Million - ndani ya muda ya mfupi atakuwa fresh
Ila Self-taught wengi , huwa wanafanya vitu vyao wenyewe , Baada ya kazi zao kujulikana , ndipo orders zinakuja
Je, nawezaje kuwa female programmer? Naanza kusoma vitu gani Kwanza? Kuna vitu vya kusoma kabla ya coding? Je natakiwa nijue languages zote za computer au nikijua python na java zinatosha?
Zingatia: Sio kwenda chuoni au course centres Fulani, naongelea self-taught. Kujifunza mwenyewe maana napenda kuwa programmer lakini sijasomea mambo ya computer, nipo Nasoma vitu vingine lakini programming ndio hobby.