God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
Habari za asubuhi wakuu.
Sina uelewa kuhusu points zinazohitajika kusoma kozi za afya kwa wanaotokea form six.
Naombeni mnieleweshe hapa, nina rafiki yangu kamaliza form six anataka asome higher dilpma kwa kozi za afya.
Naombeni pia mnijuze ni vyuo gani vinatoa hio level ili huyu ndugu afanye utaratibu wa kusoma.
Ninafahamu AMO (assistant medical officer) inatolewa katika level ya higher diploma. Je bado ipo?
Inachukua mda gani kusoma?
Ni kweli hiki cheo cha AMO kimefutwa?, nilisikia fununu ila sina uhakika.
Pia naomba mniambie kozi nyingine za afya zinazotolewa katika hiyo level ya higher diploma tuchakarike tuzipiganie fursa kabla umri haujamtupa mkono huyu ndugu.
Na kwa kweli anapenda sana kozi za afya ila kinachomshinda TCU ni ushindani so anaamin huko higher diploma anaweza kufika mbali.
Naombeni msaada jamani kabla siku hazijaisha.
Sina uelewa kuhusu points zinazohitajika kusoma kozi za afya kwa wanaotokea form six.
Naombeni mnieleweshe hapa, nina rafiki yangu kamaliza form six anataka asome higher dilpma kwa kozi za afya.
Naombeni pia mnijuze ni vyuo gani vinatoa hio level ili huyu ndugu afanye utaratibu wa kusoma.
Ninafahamu AMO (assistant medical officer) inatolewa katika level ya higher diploma. Je bado ipo?
Inachukua mda gani kusoma?
Ni kweli hiki cheo cha AMO kimefutwa?, nilisikia fununu ila sina uhakika.
Pia naomba mniambie kozi nyingine za afya zinazotolewa katika hiyo level ya higher diploma tuchakarike tuzipiganie fursa kabla umri haujamtupa mkono huyu ndugu.
Na kwa kweli anapenda sana kozi za afya ila kinachomshinda TCU ni ushindani so anaamin huko higher diploma anaweza kufika mbali.
Naombeni msaada jamani kabla siku hazijaisha.