Kwangu simu pale ulipofuta mkuuKama kichwa kinavyojieleza nimejikuta nafuta text muhimu sana kutoka CRDB naomba mwenye uelewa nawezaje kuwafanya wanirudishie ni sms ya kawaida kupitia no ya simu
UndoKama kichwa kinavyojieleza nimejikuta nafuta text muhimu sana kutoka CRDB naomba mwenye uelewa nawezaje kuwafanya wanirudishie ni sms ya kawaida kupitia no ya simu
😂😂😂😂😂Undo
Piga simu customer care...omba wa resend hiyo msg..wala usipate wasiwasiKama kichwa kinavyojieleza nimejikuta nafuta text muhimu sana kutoka CRDB naomba mwenye uelewa nawezaje kuwafanya wanirudishie ni sms ya kawaida kupitia no ya simu
Mtoa mada jibu hili hapaNenda settings
Halafu messages
Njoo mpaka advanced messages
Nenda general settings
Nenda bar
Agiza bia na utulize akili
Kesho yake pitia benki customer service
Asante kwa ushauri kumbe sasa natakiwa nikumbuke nn cha muhimu ili nitakapoenda nisipate usumbufuTetx zote Zipo.ktk database so nenda crdb au mtandao wako utakutabtext hata ya mwaka juzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii yangu ni CRDB sio NMBNenda NMB kule ndo wanaback up waambie umefuta text na ufutio wa penseli watakupa nyingine. Hakikisha umesema hivi usibadilishe neno.
Sent using Jamii Forums mobile app