Poa mkuu!
Mie nadhani nishasemaga mara nyingi humu kwa JF jamani msiingilie kazi za watu wengine haya sasa ushajua FORMAT-> NEXT-> NEXT -> NEXT ->INSTALL -> NEXT -> NEXT -> FINISH basi mtu anajiona kashakuwa mwana IT.Sasa mbona kwenye kuformat hukuomba msaada? Pole sana mkuu.Tafuta Pegasus Data Recovery itakutoa na zoezi lako la ku
recover outlook data zako.