josephjrm
Member
- Nov 11, 2015
- 41
- 42
Nimeroot kwa kutumia kingroot mkuu kwangu haikugomaUmeroot kwa kutumia nini mkuu. Hebu nijuze nami nifanye hayo mautundu. Nimetumia Kingroot imegoma.
Nimeroot kwa kutumia kingroot mkuu kwangu haikugomaUmeroot kwa kutumia nini mkuu. Hebu nijuze nami nifanye hayo mautundu. Nimetumia Kingroot imegoma.
upo nchi gani mkuupoa.
mwingine anayehitaj kuroot anitumie aina ya simu na model pm au wasap +639380387931
kwangu ninapofanya hivyo yanakuja maandishi ya kichina nashindwa kuendeleainategemea na aina ya simu. njia nzuri ni kuinstall su file manually kwa kuwasha simu ukiwa umepress home button, volume down button na power on button. then unachagua su file uliloweka kwenye sd card yako.
nitumie pm aina yako ya simu na model yake nikutafutie su file yake kwan ukiweka file sio simu haiwaki.
Mm nna tecno nataka isome Samsung. Nafanyaje?Kuroot unaweza
Tumia
Kingroot, kingoroot, iroot Faida; unakua unauweza wa kufanya chochote unachotaka ikiwa ni pamoja kuondoa built-in apps ambzo huzitaki, unaweza wa kubadili fonts za simu yako, kuna mambo advanced kama unataka simu yako ikiwaka isioneshe tecno isome jina jingine, yan ni a lot of things
Mkuu mimi nataka kuwa app yangu nina sacos yangu nataka kutumia matangazo kwa app kuna anaweza kutengeneza na inagarimu kiasi ganiinategemea na aina ya simu. njia nzuri ni kuinstall su file manually kwa kuwasha simu ukiwa umepress home button, volume down button na power on button. then unachagua su file uliloweka kwenye sd card yako.
nitumie pm aina yako ya simu na model yake nikutafutie su file yake kwan ukiweka file sio simu haiwaki.
hiyo ww nenda tu google ads.Mkuu mimi nataka kuwa app yangu nina sacos yangu nataka kutumia matangazo kwa app kuna anaweza kutengeneza na inagarimu kiasi gani