Nawezaje kuroot tecno boom J8?

Nawezaje kuroot tecno boom J8?

dedam

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
845
Reaction score
166
Nawezaje kuroot tecno boom j8

Na zipi faida nikiiroot hii simu??

Naomba mnidadavulie wataalam wa IT
 
Kuroot unaweza
Tumia
Kingroot, kingoroot, iroot Faida; unakua unauweza wa kufanya chochote unachotaka ikiwa ni pamoja kuondoa built-in apps ambzo huzitaki, unaweza wa kubadili fonts za simu yako, kuna mambo advanced kama unataka simu yako ikiwaka isioneshe tecno isome jina jingine, yan ni a lot of things
 
faida ya kuroot ni kuweza kutumia heavy apps ambazo huwez kutumia bila kuroot...
unaweza kuroot either kwa pc au kuweka su file kweny sd na kuintroduce su file kweny systm manually au kwa kudownload 3rd part app ambayo itaweka su file kweny systm automatically
 
faida ya kuroot ni kuweza kutumia heavy apps ambazo huwez kutumia bila kuroot...
unaweza kuroot either kwa pc au kuweka su file kweny sd na kuintroduce su file kweny systm manually au kwa kudownload 3rd part app ambayo itaweka su file kweny systm automatically
Nipe maelekezo vzr bos maana na mimi nina samsung iko slow sana nahitaji kuiroot
 
Nipe maelekezo vzr bos maana na mimi nina samsung iko slow sana nahitaji kuiroot
ukiroot unaweza ukaboost ram na kumove app kweny sd hata zile app ambazo hua hazikubali kuamishwa kwenye sd. hvyo kufanya device isiwe slow. jinsi ya kuroot inategemeana na aina ya simu.
for more pm
 
faida ya kuroot ni kuweza kutumia heavy apps ambazo huwez kutumia bila kuroot...
unaweza kuroot either kwa pc au kuweka su file kweny sd na kuintroduce su file kweny systm manually au kwa kudownload 3rd part app ambayo itaweka su file kweny systm automatically
Unaweza kunitajia hizo heavy apps na matumizi yake?
 
kuna link2sd hii bila kuroot huwez kulink data kwenda kwenye sd kwani ukiamisha app from 4n 2 sd kinachoama ni apk file sio data..

kwa wale watumiaji wa vpn, unauwezo wa kufanya app zote zitumie vpn bila kupata shida..

kuna app nyingi kulingana na matumizi yako..

alafu mnauliza faida ya kuroot hamuulizi hasara yake....
 
hasara ya kuroot ni kwamba ukikosea aina ya su file kuna uwezekano wa kusababisha simu yako kuzima majumla. so kwa wale wanaogoogle msiamini njia zote kwan su files nyingine sio nzuri
 
hasara ya kuroot ni kwamba ukikosea aina ya su file kuna uwezekano wa kusababisha simu yako kuzima majumla. so kwa wale wanaogoogle msiamini njia zote kwan su files nyingine sio nzuri
Shukrani mkuu
Ungetupa hizo njia za kuroot ili tusiingie chaka
 
Shukrani mkuu
Ungetupa hizo njia za kuroot ili tusiingie chaka
inategemea na aina ya simu. njia nzuri ni kuinstall su file manually kwa kuwasha simu ukiwa umepress home button, volume down button na power on button. then unachagua su file uliloweka kwenye sd card yako.

nitumie pm aina yako ya simu na model yake nikutafutie su file yake kwan ukiweka file sio simu haiwaki.
 
1474529911592.jpg
. hivi ndo unavyoinstall su file..

simu yako ikiwa imezima
unaiwasha kwa kubonyeza home, power on na volume down
>>>instal from sd
>>> instal zip
>>> chagua hilo file
mafile ya su ya simu nying ninayo. pm type na model ya simu . ninakutumia
 
Kuna apps za kukuwezesha kuroot simu kama kingo root,king root etc vile vile kuna zip files ambazo unaweza utaistall manually kwenye boot mode
kuna hii ambyo nimetumia mimi inaitwa root installer.zip kwa samsung ipo poa sana
ila kama una pcnakushauri utumie kingo root kuroot tecno yako
 
inategemea na aina ya simu. njia nzuri ni kuinstall su file manually kwa kuwasha simu ukiwa umepress home button, volume down button na power on button. then unachagua su file uliloweka kwenye sd card yako.

nitumie pm aina yako ya simu na model yake nikutafutie su file yake kwan ukiweka file sio simu haiwaki.
Kaka nichek whatsap unipe maelekezo pls 0755957515 maana pm kwangu hakufunguki muda sasa
 
Me nimeiroot simu yangu ya boom j8 sasa nataka kuupadate hios lakin inagoma, inamaana simu ikiwa rooted ile system iliokujanayo inakuwa haifunction tena???
 
Me nimeiroot simu yangu ya boom j8 sasa nataka kuupadate hios lakin inagoma, inamaana simu ikiwa rooted ile system iliokujanayo inakuwa haifunction tena???
Umeroot kwa kutumia nini mkuu. Hebu nijuze nami nifanye hayo mautundu. Nimetumia Kingroot imegoma.
 
Me nimeiroot simu yangu ya boom j8 sasa nataka kuupadate hios lakin inagoma, inamaana simu ikiwa rooted ile system iliokujanayo inakuwa haifunction tena???
ukiroot unaua warrant ya simu so baadhi ya functions na features utakua huzipati kama kuupdate android software kutoka kweny market wanayoprovide hyo simu
 
Back
Top Bottom