God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
Habari wanajamii forum.
Nimekua sitosheki na mwanamke mmoja hata nimpende vipi, yani tena nikishamzoea ndo naona kero kabisa natamani kumuacha au kumuongezea mwanamke mwingine.
Nimekua na hamu sana ya kutoka na wanawake wengi ili kubadilisha ladha na raha ya tendo lenyewe.
Kwa wale wenye mahusiano ya mda mrefu/ndoa naombeni mnisaidie mmewezaje kudumu na wenzenu kwa muda mrefu?
Mmekutana na changamoto kama hizi au mmechepuka?
Nikikaa na mwanamke muda mrefu hamu ya ngono inaisha.
Nimekua sitosheki na mwanamke mmoja hata nimpende vipi, yani tena nikishamzoea ndo naona kero kabisa natamani kumuacha au kumuongezea mwanamke mwingine.
Nimekua na hamu sana ya kutoka na wanawake wengi ili kubadilisha ladha na raha ya tendo lenyewe.
Kwa wale wenye mahusiano ya mda mrefu/ndoa naombeni mnisaidie mmewezaje kudumu na wenzenu kwa muda mrefu?
Mmekutana na changamoto kama hizi au mmechepuka?
Nikikaa na mwanamke muda mrefu hamu ya ngono inaisha.